oscar mwankina
Senior Member
- Feb 10, 2013
- 187
- 118
Wakuu naomba kuuliza;
Hivi hapa nchini mpira wa kuwania kombe la Mataifa huru ya Africa ni King'amzi kipi kitakacho kuwa kinaonyesha channel za mpira ?
Mimi natumia Dstv na StarTimes sasa nataka nilipie kimoja.
Asanteni sana
Hivi hapa nchini mpira wa kuwania kombe la Mataifa huru ya Africa ni King'amzi kipi kitakacho kuwa kinaonyesha channel za mpira ?
Mimi natumia Dstv na StarTimes sasa nataka nilipie kimoja.
Asanteni sana