oscar mwankina Senior Member Joined Feb 10, 2013 Posts 187 Reaction score 118 Jun 20, 2019 #1 Wakuu naomba kuuliza; Hivi hapa nchini mpira wa kuwania kombe la Mataifa huru ya Africa ni King'amzi kipi kitakacho kuwa kinaonyesha channel za mpira ? Mimi natumia Dstv na StarTimes sasa nataka nilipie kimoja. Asanteni sana
Wakuu naomba kuuliza; Hivi hapa nchini mpira wa kuwania kombe la Mataifa huru ya Africa ni King'amzi kipi kitakacho kuwa kinaonyesha channel za mpira ? Mimi natumia Dstv na StarTimes sasa nataka nilipie kimoja. Asanteni sana