Mpishi alifjikaje katikati ya uwanja Qatar

Mpishi alifjikaje katikati ya uwanja Qatar

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
221223124654-salt-bae-world-cup.jpg


Mpishi maarufu kutoka Uturuki Nusret Gokce amewatia kizunguzungu viongozi wa FIFA kwa kumkuta katika ya uwanja huko LUSAIL siku ya mechi ya finali wiki iliyopita.. Hatimae wakati wa kutangzwa mshindi na kukabidhiwa kombe alionekana akikumbatiana na akina Messi na kulibeba kombe la dunia. Kikawaida kombe hilo huguswa na makapteni wa timu tu na viongozi wa timu pamoja na maraisi wa nchi.

Mbali na mkasa huo wa uwanjani mpishi huyo vile vile aliweka picha hizo kwenye ukurasa wake wa mapishi kwenye instagram
 
Anakula ban Kila Kona wazungu wame-overeact
Unasema hivo saw.ila unafikri tena hata gonbe lenyewe lina maana ya sposi kwa sasaa? Wao wamezitoa nchi za rasha kisa fita fya huko .ba wao walisema hawana siasa katika mpira.
 
Yaani raia wanavyoosha vinywa, utadhani jamaa kaua kumbe tu katimba uwanjani kujipendekeza kwa wachezaji
 
Back
Top Bottom