So bosi wa FIFA ana shida sana na Nyama? Mna akili kama konokonoHahahahaaha, hapo yupo na Boss wa FIFA kabla, Boss kahaidiwa minyama yenye salt ya bwana Bae…
Unasema hivo saw.ila unafikri tena hata gonbe lenyewe lina maana ya sposi kwa sasaa? Wao wamezitoa nchi za rasha kisa fita fya huko .ba wao walisema hawana siasa katika mpira.Anakula ban Kila Kona wazungu wame-overeact
Konokono mwenyewe ni nyama, una njaa nn tukuleteeSo bosi wa FIFA ana shida sana na Nyama? Mna akili kama konokono