Kuna jamaa ni noma sema yupo mkoani huko. Yule jamaa ni genius wa vitafunwa na hayo makitu. Na ni very loyal. Ungempata ungelamba dume.Anaitajika mpishi mwenye uzoefu mkubwa wa kuoika biriani na mande pia n avyakula vingine kwaajili ya biashara ya mgahawa Bunju B. Noamba ni PM kama una sifa hizo.
Huyo anajua kupakua biriani tu
Mkuu yote yanawezekana, unanamba yake au jinsi ya kumpata nizungumze nae?Kuna jamaa ni noma sema yupo mkoani huko. Yule jamaa ni genius wa vitafunwa na hayo makitu. Na ni very loyal. Ungempata ungelamba dume.
Nimeshapata boss nashukuru. Wewe ni eneo lako hili?Boss ushapata mpishi
Ndio, Tena sanaNimeshapata boss nashukuru. Wewe ni eneo lako hili?