Mzee Shirimaa JF-Expert Member Joined Sep 12, 2018 Posts 1,539 Reaction score 3,456 Nov 2, 2022 #1 Tukiwambia mje na daftari na pen Simba ikicheza mnaleta kiburi .... Wachezaji wanaruka ruka Kama njegere. Na lazima mpigwe faini au kufungiwa uhuni mliofanya kwa wageni pale uwanjan kabla hawanaingia uwanjan Ni aibu kwa taifa.
Tukiwambia mje na daftari na pen Simba ikicheza mnaleta kiburi .... Wachezaji wanaruka ruka Kama njegere. Na lazima mpigwe faini au kufungiwa uhuni mliofanya kwa wageni pale uwanjan kabla hawanaingia uwanjan Ni aibu kwa taifa.
Kitimoto JF-Expert Member Joined Aug 25, 2012 Posts 6,941 Reaction score 7,808 Nov 2, 2022 #2 Mbona haraka haraka kama mwendawazimy, andika vizuri ueleweke na weka na picha
fyddell JF-Expert Member Joined Dec 19, 2011 Posts 12,026 Reaction score 22,549 Nov 2, 2022 #3 Wamefanya nini kwa hao watunisia mkuu?
Mzee Shirimaa JF-Expert Member Joined Sep 12, 2018 Posts 1,539 Reaction score 3,456 Nov 2, 2022 Thread starter #4 Kitimoto said: Mbona haraka haraka kama mwendawazimy, andika vizuri ueleweke na weka na picha Click to expand... Wewe kitimoto nitakukaanga afu nikukule na ndizi 2 za bukoba
Kitimoto said: Mbona haraka haraka kama mwendawazimy, andika vizuri ueleweke na weka na picha Click to expand... Wewe kitimoto nitakukaanga afu nikukule na ndizi 2 za bukoba
N Noti bandia JF-Expert Member Joined May 3, 2020 Posts 2,684 Reaction score 4,315 Nov 2, 2022 #5 Kwakweli wameishiwa mbinu kbisa
MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,057 Reaction score 39,387 Nov 2, 2022 #6 Mayele kakutana na bwana mrefu huku wa kiarabu anasindikizwa mpa sokoni
M miss pablo JF-Expert Member Joined Jul 9, 2018 Posts 5,411 Reaction score 11,025 Nov 5, 2022 #7 Mzee Shirimaa said: Wewe kitimoto nitakukaanga afu nikukule na ndizi 2 za bukoba Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] kmmk
Mzee Shirimaa said: Wewe kitimoto nitakukaanga afu nikukule na ndizi 2 za bukoba Click to expand... [emoji23][emoji23][emoji23] kmmk