mwananyiha
JF-Expert Member
- Mar 11, 2008
- 248
- 43
- Thread starter
-
- #41
Nimekusoma sasa...nwy wenyeji wapo ila asiende tu na tabia za ajabu ajabu...na uswahili kama anao auache DIA.
Hivi weweeee...nani aliyekuruhusu kuuliza maswali?!Maagizo yametolewa sharti yafuatwe.Mh Spika naomba Mwongozo1. Mchangiaji amesema tabia za ajabu ajabu ni zipi hizo2. Uswahili kwanini auachie DIA (nadhani alikuwa ana maana JNIA)Naomba afute hizi kauliNaomba kuwakilisha.
Afadhali...bora ushamba kuliko uswahili.Nwy wala hamna haja ya kua na hofu...ingekua anatoka majuu kwenda dasilamu ndo hata mimi ningewasaidia kua na wasiwasi.Uswahiliswahili ninavyomjua hana ila ana kaushamba kidogo.Ndio maana tunakuwa na wasiwasi.
Afu baba Mchungaji nina wasi wasi nae hao kondoo wake watakuwa washapotea
Hivi weweeee...nani aliyekuruhusu kuuliza maswali?!Maagizo yametolewa sharti yafuatwe.
Afadhali...bora ushamba kuliko uswahili.Nwy wala hamna haja ya kua na hofu...ingekua anatoka majuu kwenda dasilamu ndo hata mimi ningewasaidia kua na wasiwasi.
Uswahiliswahili ninavyomjua hana ila ana kaushamba kidogo.Ndio maana tunakuwa na wasiwasi.
Kijana embu weka heshima mbele..mimi ndo mwamuzi ndio maana nimekaa mbele na wewe umekaa na jumuiya.NEEEEEXT....Mh Maswali lazima yajibiwe hata kama huna jibu piga kelele kwa kugonga meza
Kijana embu weka heshima mbele..mimi ndo mwamuzi ndio maana nimekaa mbele na wewe umekaa na jumuiya.NEEEEEXT....
Hahahha....kweli Mbu...waswahili ni noma na dasilamu ni hatari....lol.....una visa sana wewe, hhahha...
We ntaagiza utolewe nje sasa hivi.Mashallah!
.....unatupa kapu zima.Lolzzz
We ntaagiza utolewe nje sasa hivi.
Uswahiliswahili ninavyomjua hana ila ana kaushamba kidogo.Ndio maana tunakuwa na wasiwasi.
msije mkamvalisha label ya 'if lost plz call this #', wanaijeria wakimuona tu watamchangamkia!
Wifi tabu itakua kwenye kuchunguza hao wengine mmoja mmoja kama nao ndio wale wale...na muda unavyoenda ndivyo wanavyopokezana kuharibuka.wifi umekosea bana, u spice it up unless ni male fish ndo una-banika kwa mkaa,lol
msije mkamvalisha label ya 'if lost plz call this #', wanaijeria wakimuona tu watamchangamkia!
Hiyo hiyo inayohusiana na mimi kukaa mbele kama kiongozi.Nje ipi wakati wewe uko mbele mimi Nyuma
Mwambie nipo Zurich akishuka aulize pale arrival desk wapi nitampata Abby? Siangalii kabla wala jinsia utaifa kwangu una maslahi zaidi.K.A.R.I.B.U S.A.N.A.