katika vitu vinavyonifanya niache kuangalia kipindi cha origino komedi ni huyu jamaa anayeitwa mpoki, ile tabia yake ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inatudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????
Hizi tabia za kuponda kila kitu vijana wetu wanafanya inakera sana, na ndio maana wasanii wetu wanashindwa kuendelea coz wanakosa backup from home!
Mi siamini eti hakuna vipindi vizuri kny TV zetu hapa bongo km TBC, itv etc....Ze comedy, yes inaweza kuwa na mapungufu....bt ni nzuri......kama ww mmoja huipendi bac kuna wtv kibao wanaipenda...kudhibisha hilo kesho alhamisi pita sehemu za bar zenye tv mitaa ya saa kumi na mbili jioni, na pia vijiweni huko uswaz etc uone watu walivyojazana humo wakiburudika....!
Tunakasumba mbovu sana ya kusifia vya wenzetu tu, vya vyeku atasifia nani? Tumempnda sana Kayumba, tuliponda sana Maisha Plus, tunaponda sana waigizaji wafilamu etc why? tunakimbilia filamu au programs za DSTV ambazo zimetengenzwa tena kny nchi za Africa hapa hapa with more or less similar mazingira....na ndiko tunaona ni bora na kukandia sana vya kwetu.....hii tabia si nzuri kabisa! Charity should begin at home bana!
We mtoa mada kwa akili yako unafikiri Mpoki yale anayosema yanaukweli wowote e.g ana watoto wanasoma Ulaya ...day, anafanya massage Brazil....etc etc? ule ni just usanii......tu na kufurahisha wanajamii! Na kumbuka kuna ukweli fulani kwamba wahaya walio wengi huwa wanapenda sana kujisifia kwamba wana maisha bora na wana uwezo sana kifedha......so this guy is just trying to potray that full stop!
Hizi tabia za kuponda kila kitu vijana wetu wanafanya inakera sana, na ndio maana wasanii wetu wanashindwa kuendelea coz wanakosa backup from home!
Mi siamini eti hakuna vipindi vizuri kny TV zetu hapa bongo km TBC, itv etc....Ze comedy, yes inaweza kuwa na mapungufu....bt ni nzuri......kama ww mmoja huipendi bac kuna wtv kibao wanaipenda...kudhibisha hilo kesho alhamisi pita sehemu za bar zenye tv mitaa ya saa kumi na mbili jioni, na pia vijiweni huko uswaz etc uone watu walivyojazana humo wakiburudika....!
Tunakasumba mbovu sana ya kusifia vya wenzetu tu, vya vyeku atasifia nani? Tumempnda sana Kayumba, tuliponda sana Maisha Plus, tunaponda sana waigizaji wafilamu etc why? tunakimbilia filamu au programs za DSTV ambazo zimetengenzwa tena kny nchi za Africa hapa hapa with more or less similar mazingira....na ndiko tunaona ni bora na kukandia sana vya kwetu.....hii tabia si nzuri kabisa! Charity should begin at home bana!
We mtoa mada kwa akili yako unafikiri Mpoki yale anayosema yanaukweli wowote e.g ana watoto wanasoma Ulaya ...day, anafanya massage Brazil....etc etc? ule ni just usanii......tu na kufurahisha wanajamii! Na kumbuka kuna ukweli fulani kwamba wahaya walio wengi huwa wanapenda sana kujisifia kwamba wana maisha bora na wana uwezo sana kifedha......so this guy is just trying to potray that full stop!
katika vitu vinavyonifanya niache kuangalia kipindi cha origino komedi ni huyu jamaa anayeitwa mpoki, ile tabia yake ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inatudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????
kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????
Wahaya nao wanavyopenda kujisifu!katika vitu vinavyonifanya niache kuangalia kipindi cha origino komedi ni huyu jamaa anayeitwa mpoki, ile tabia yake ya kujifanya iko na hela nyingi na kutajataja watu majina inanikera sana na naona kama inatudhalilisha sisi wahaya au kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani????
wajina hili ni jibu, ilobakia ni kupigia mstari tu kama ifuatavyo:
kijana akitoka ktk kipindi anaenda kulipwa kwa kuwarusha hao watu hewani