Mpoki a.k.a Bepari la kihaya


eeehe heee heeee nicheke kimaisha plus mie
 
analipwa na hao jamaa ILA INAKERA
 
katika segment ninayoipenda ni hii ya bepari la kihaya...yaani bora wasioneshe kitu ila hiyo...kwetu sisi ni sifa kwanza ndo whaya wamesoma sana nchii hii hasa kule kanyigo. pia ukiwa muhaya umesoma kisha una mihela kama bepari mpoki...huku unaongea kile kizungu cha kihaya penye R unaichanganya na L yaani "we need to check their serlostatus (serostatus) zao" huyo ni dk wa kihaya...nje amepaki BMW..wahaya we acha tu. MPOKI nakufwagilia kinomaaaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…