Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,366
- 14,167
Kila aina ya dharauDharau kama zote maana yake ni nini?
Hivi ile sheria ya utangazaji ya kuwa kila mtangazaji/mwandishi wa habari lazima awe na degree moja itaanza lini vile??kwani ndio utakuwa mwisho wa hao eti ana kipaji cha utangazaji tu!!kina zembwera,kocha mchezaji,mzee wa unatema kushoto unafukia kulia(mbwiga),umri wa kustafu yeye ndio anaajiriwa!!Efm mtangazaj wa maana n dinnamarios tu
Haa haa haa hyo Sheria ikipitishwaHivi ile sheria ya utangazaji ya kuwa kila mtangazaji/mwandishi wa habari lazima awe na degree moja itaanza lini vile??kwani ndio utakuwa mwisho wa hao eti ana kipaji cha utangazaji tu!!kina zembwera,kocha mchezaji,mzee wa unatema kushoto unafukia kulia(mbwiga),umri wa kustafu yeye ndio anaajiriwa!!
Asidharau watu, Kama ndo hivo nitafuta comedy zote.Mimi hajanigusa Ila nasikitika anavyowadharau bar maids, walinzi, walimu, wakulima, ma house girls, madereva, makondakta, mama wa nyumbani na wafanyazi wote wa vyeo vya chini maofisini na viwandani.
Jamaa kama ana allergy na walalahoi vile...
Hatuwezi wote tukawa sawa.... Nao hawakupenda kuwa hivyo. Mujuni acha kejeli babaaaa kila kazi inataka nidhamu. Hata comedy.
Nakumbuka kuwa walipewa miaka mitano ya kujiendeleza!!kama sijakosea tunaenda mwaka wa tatu au wa pili!!,hapo patamu mtu ana zero form four,upewe miaka mitano uwe umepata gamba la degree si hatari hiyo?!!mbona wengi watarudi kwenye fani zao za kuchekesha.Haa haa haa hyo Sheria ikipitishwa
Ujue xxl na clouds kwa ujumla tunawaambia rest in peace
Form 4/6 ya siku hizi?Unaongelea miaka ipi mpoki amerudi shule?Mpoki Form 6 nadhani. Ila si unajua form 4 na 6 za siku hizi. Walimu vimeo wanafunzi vituko..... Ila Mpoki akitulia akili zake ni nzuri zaidi ya wenye degrees wengi tu. Sema hizo kejeli bwana... Tunakukosoa Mpoki kwa sababu tunakupenda..
Alia
Alianza vizuri sana Mpoki pale EFM. Akichekesha na kuelimisha....Sijui kimempata nini hivi karibuni. Au kalewa madili.... ya hela za matangazooo....? Unajua binadamu akipata matako hulia bwataaa... Easy Mpoki.. Easy....
Hivi ile sheria ya utangazaji ya kuwa kila mtangazaji/mwandishi wa habari lazima awe na degree moja itaanza lini vile??kwani ndio utakuwa mwisho wa hao eti ana kipaji cha utangazaji tu!!kina zembwera,kocha mchezaji,mzee wa unatema kushoto unafukia kulia(mbwiga),umri wa kustafu yeye ndio anaajiriwa!!
Aisee bongo nyoso. Form 6 anamiliki nyumba na prado jipya na pamba kaliMpoki Form 6 nadhani. Ila si unajua form 4 na 6 za siku hizi. Walimu vimeo wanafunzi vituko..... Ila Mpoki akitulia akili zake ni nzuri zaidi ya wenye degrees wengi tu. Sema hizo kejeli bwana... Tunakukosoa Mpoki kwa sababu tunakupenda..
Tayari mbona.kamkejeli steveMpoki asije akaukejeli hata msiba wa Mzee Majuto leo. Maana sijui kimemkuta nini siku hizi anakejeli sana watu. Hajali umri wala hali ya mtu.
Ile jokes tu mkuu kutokana na hali halisi ya maisha ya kila siku ya Watanzania walio wengi (anapotoa kitu kama kile kila akijaangalia nyumbani kwake anaona aisee kweli kifuatacho ni kicheko na ukimwangalia mwenzako na kicheko kinazidi)...mie kwangu hapo kuna funzo kwamba unapo plan kujenga nyumba yako hakikisha kwamba ina stoo kubwaEti chumba kimojaa na mandoo mikaa mavyombo kibao kwenye korido ndicho anachokandiaga..... Nani anapenda kuishi hivyo... Si basi tu. Nchi Haina mipango mizuri. Nchi zilizoendelea nyumba hazijengwi na individuals.
Yaani hapa ndio tunashida kwa wengi wetu tusionacho...wakati mwingine unakasirika tu ukimwona mtu anatembea huku anakunywa juice ya kopo kwa kumwona kama anajidai wakati huohuo anaekula miwa na karanga huku anachafua mazingira unaona kawaidaMkuu nakushauri ubadili mindset kwanza. Kwahivo unaamini kwamba umedharauliwa au we ni masikini. Basi fanya kweli muoneshe mpoki kwamba we siyo maskini kwa kutengeneza mkwanja mrefu.
Acha kulialia mkuu pambana tu nawe utakula kuku kwa mrija.
Ukiwa mtu kuwaza kudharauliwa basi hakuna atakayekuonea huruma duniani utabaki na stress zako
Haa haa haa hyo Sheria ikipitishwa
Ujue xxl na clouds kwa ujumla tunawaambia rest in peace