true say ... kuna watu huwa wanajisahau walipo toka kaka .. ila Mungu ni wa sisi ote.
Ukimfanyia utafiti vizuri, komedi zake ni kukejeli watu. Sasa akiacha atakosa cha kufanya. Tumuache tu, ila mimi nawahurumia wafanyakazi wa ndani na wanaoishi kwa ndugu anavyowasumbua. Na kuna siku nakumbuka kama mara mbili hivi alileta mas hara ya kuisifia shingo ya waziri fulani kwenye hili baraza mh. Pombe, eti anaipenda!! Nahisi kuna kitu anakitafta!!Hatuwezi kumwacha Mpoki Mujuni aendelee kutukana watu. Tutamkosoa tu.
Mkuu wala usipnick hiyo nayo niana yake ya comedy ya majivuno so take it easyMpoki ni mchekeshaji mzuri na kwa kweli ana kipaji au karama ya kazi hiyo.
Ametuchekesha na kuyuelimisha muda mrefu na jina lake lilivuma zaidi wakiwa original comedy pale EA Radio na kubwa lao tbc.
Hivi sasa yupo EFM RADIO na kazi yake ya kuchekesha nasema bado ni superb. Lakini siku hizi wakati mwingine anavuka mstari kutoka kuchekesha hadi kukejeli na hata kutukana watu kwa hali zao, kipato chao, kazi zao, umasikini wao na hata maumbo yao!
Mpoki anakejeli wanaoishi nyumba za kupanga. Kisa sijui yeye ana mjengo. Akumbuke aliyempa yeye ndiye aliyewanyima hao wenye miaka 50 na hawana nyumba.
Si wote wasio na nyumba hadi wanzeeka ni kwa sababu ya ujinga au uzembe wao. Miscalculations may be lakini Mpoki hawasaidii kwa kuwakejeli. Mujuni ajue hao anaowadharau leo ndio waliompa umaarufu.
Mujuni si vizuri kuwakejeli wauza kahawa, maji, mitumba au vitumbua. Haiewezekani wote wakatoka kupitia comedy.
Acha kuwatukana wasio na magari au wenye magari vimeo. Wenye samani mbaya kwenye nyumba zao. Acha majivuno bwana wenye vitambi na hawana nyumba au magari nao wana haki ya kuishi, kupanda daladala nk.
Mpoki aka Mujuni una akili sana. Huwa nakufuatilia unavyojenga hoja katika kipindi cha ubaoni. Wewe ni kichwa. Ila nasema usilewe umaarufu. Acha kusanifu watu. Kuna tofauti kati ya kuwachekesha watu na kuwakejeli/tukana. Kila la kheri Mujuni. Sisi marafiki wako wa mbali tunaona anapokosea na tunakwambia. Marafiki zako wa karibu hawawezi kukwambia hata ukosee kiasi gani. All da best Mpoki aka mwarabu wa Dubai.
Ndicho huyuu mkuu anachokosea kuchulia seriously hajui pale mwenzie ana entertain tuInawezekana kejeli unazoona wewe kwake yeye ni kuburudisha.. kwenye utani kejeli zipo pamoja na dharau kama zote..
Ni mtu usimchukulie serious kihivyo hata kama amekugusa kwenye idara yako
Sometimes si utani tena. Anakejeli, anasimanga na hata kutukana watu waziwazi. Kalewa sifa za kijingaaaNdicho huyuu mkuu anachokosea kuchulia seriously hajui pale mwenzie ana entertain tu
Usiwe seriously naeSometimes si utani tena. Anakejeli, anasimanga na hata kutukana watu waziwazi. Kalewa sifa za kijingaaa
Usiwe seriously nae
Nilishaliona hili na nilikua natafuta namna ya kumfikishia ujumbe... jamaa anatoka kwenye mstari mara kibao tu. AjirekebisheMpoki ni mchekeshaji mzuri na kwa kweli ana kipaji au karama ya kazi hiyo.
Ametuchekesha na kuyuelimisha muda mrefu na jina lake lilivuma zaidi wakiwa original comedy pale EA Radio na kubwa lao tbc.
Hivi sasa yupo EFM RADIO na kazi yake ya kuchekesha nasema bado ni superb. Lakini siku hizi wakati mwingine anavuka mstari kutoka kuchekesha hadi kukejeli na hata kutukana watu kwa hali zao, kipato chao, kazi zao, umasikini wao na hata maumbo yao!
Mpoki anakejeli wanaoishi nyumba za kupanga. Kisa sijui yeye ana mjengo. Akumbuke aliyempa yeye ndiye aliyewanyima hao wenye miaka 50 na hawana nyumba.
Si wote wasio na nyumba hadi wanzeeka ni kwa sababu ya ujinga au uzembe wao. Miscalculations may be lakini Mpoki hawasaidii kwa kuwakejeli. Mujuni ajue hao anaowadharau leo ndio waliompa umaarufu.
Mujuni si vizuri kuwakejeli wauza kahawa, maji, mitumba au vitumbua. Haiewezekani wote wakatoka kupitia comedy.
Acha kuwatukana wasio na magari au wenye magari vimeo. Wenye samani mbaya kwenye nyumba zao. Acha majivuno bwana wenye vitambi na hawana nyumba au magari nao wana haki ya kuishi, kupanda daladala nk.
Mpoki aka Mujuni una akili sana. Huwa nakufuatilia unavyojenga hoja katika kipindi cha ubaoni. Wewe ni kichwa. Ila nasema usilewe umaarufu. Acha kusanifu watu. Kuna tofauti kati ya kuwachekesha watu na kuwakejeli/tukana. Kila la kheri Mujuni. Sisi marafiki wako wa mbali tunaona anapokosea na tunakwambia. Marafiki zako wa karibu hawawezi kukwambia hata ukosee kiasi gani. All da best Mpoki aka mwarabu wa Dubai.
Mmmhmpoki yuko sahihi....haiwezekani utoke kitambi wakati unakaa kwenye nyumba ys kupanga
Katika maisha kuna hali ya kujiona victim kila inapozungumziwa jamii flan muhusika alipo,,,, ni mapitio ya kawaida tuu mixer na stress za ancle JohnMpoki ni mchekeshaji mzuri na kwa kweli ana kipaji au karama ya kazi hiyo.
Ametuchekesha na kuyuelimisha muda mrefu na jina lake lilivuma zaidi wakiwa original comedy pale EA Radio na kubwa lao tbc.
Hivi sasa yupo EFM RADIO na kazi yake ya kuchekesha nasema bado ni superb. Lakini siku hizi wakati mwingine anavuka mstari kutoka kuchekesha hadi kukejeli na hata kutukana watu kwa hali zao, kipato chao, kazi zao, umasikini wao na hata maumbo yao!
Mpoki anakejeli wanaoishi nyumba za kupanga. Kisa sijui yeye ana mjengo. Akumbuke aliyempa yeye ndiye aliyewanyima hao wenye miaka 50 na hawana nyumba.
Si wote wasio na nyumba hadi wanzeeka ni kwa sababu ya ujinga au uzembe wao. Miscalculations may be lakini Mpoki hawasaidii kwa kuwakejeli. Mujuni ajue hao anaowadharau leo ndio waliompa umaarufu.
Mujuni si vizuri kuwakejeli wauza kahawa, maji, mitumba au vitumbua. Haiewezekani wote wakatoka kupitia comedy.
Acha kuwatukana wasio na magari au wenye magari vimeo. Wenye samani mbaya kwenye nyumba zao. Acha majivuno bwana wenye vitambi na hawana nyumba au magari nao wana haki ya kuishi, kupanda daladala nk.
Mpoki aka Mujuni una akili sana. Huwa nakufuatilia unavyojenga hoja katika kipindi cha ubaoni. Wewe ni kichwa. Ila nasema usilewe umaarufu. Acha kusanifu watu. Kuna tofauti kati ya kuwachekesha watu na kuwakejeli/tukana. Kila la kheri Mujuni. Sisi marafiki wako wa mbali tunaona anapokosea na tunakwambia. Marafiki zako wa karibu hawawezi kukwambia hata ukosee kiasi gani. All da best Mpoki aka mwarabu wa Dubai.
Katika maisha kuna hali ya kujiona victim kila inapozungumziwa jamii flan muhusika alipo,,,, ni mapitio ya kawaida tuu mixer na stress za ancle John