M Magnify JF-Expert Member Joined Nov 16, 2014 Posts 229 Reaction score 46 Aug 22, 2015 #1 Huyu mchekeshaji mi naona anachekesha ktk movie lkn kwa kutangaza au kuwa MC kiukweli hawezi anaboa cjui ni kwangu tu!!!!!
Huyu mchekeshaji mi naona anachekesha ktk movie lkn kwa kutangaza au kuwa MC kiukweli hawezi anaboa cjui ni kwangu tu!!!!!
BOB LUSE JF-Expert Member Joined Jan 25, 2014 Posts 3,738 Reaction score 3,199 Aug 22, 2015 #2 Wote na Mwenzie Lulu wanapwaya tu! kazi ya Mpoki hiyo.
D Dhahir Senior Member Joined Sep 1, 2013 Posts 133 Reaction score 54 Aug 22, 2015 #3 Yaani bora wangemtumia joti kama mwaka jana
kende JF-Expert Member Joined Dec 2, 2013 Posts 3,527 Reaction score 1,668 Aug 22, 2015 #4 Mwenyewe kasema ili uwe muigizaji kweli igiza jukwaani, ni kama alikuwa anajisema
tya02 JF-Expert Member Joined Nov 26, 2014 Posts 850 Reaction score 1,061 Aug 22, 2015 #5 Mi naona shoo imepoa mno,tena angalau hawa washirki walivyoanza lkini mwanzo niliona kama wanaboa kabisa
Mi naona shoo imepoa mno,tena angalau hawa washirki walivyoanza lkini mwanzo niliona kama wanaboa kabisa
U Upiversity JF-Expert Member Joined Jun 19, 2015 Posts 3,487 Reaction score 2,632 Aug 23, 2015 #6 Magnify said: Huyu mchekeshaji mi naona anachekesha ktk movie lkn kwa kutangaza au kuwa MC kiukweli hawezi anaboa cjui ni kwangu tu!!!!! Click to expand... anaitwa Mboto....haya sasa endelea.
Magnify said: Huyu mchekeshaji mi naona anachekesha ktk movie lkn kwa kutangaza au kuwa MC kiukweli hawezi anaboa cjui ni kwangu tu!!!!! Click to expand... anaitwa Mboto....haya sasa endelea.