Ilikuwa ni desturi ktk kila tukio la kitaifa au laaa kumuona Mpoto akitumbuiza na kutunzwa na Sizonje iwe kwenye lile jengo jeupe au pengine!
Siku hizi simuoni tena Mpoto akialikwa upande wa utumbuizaji kama ilivyo ada before or after event,
au mashairi ya kitendawili yamemchefua Sizonje ndo kaamua kumpotezea?
Siku hizi simuoni tena Mpoto akialikwa upande wa utumbuizaji kama ilivyo ada before or after event,
au mashairi ya kitendawili yamemchefua Sizonje ndo kaamua kumpotezea?