Mpoto na Sizonje kulikoni siku hizi!

Mpoto na Sizonje kulikoni siku hizi!

BRAND

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
296
Reaction score
257
Ilikuwa ni desturi ktk kila tukio la kitaifa au laaa kumuona Mpoto akitumbuiza na kutunzwa na Sizonje iwe kwenye lile jengo jeupe au pengine!

Siku hizi simuoni tena Mpoto akialikwa upande wa utumbuizaji kama ilivyo ada before or after event,
au mashairi ya kitendawili yamemchefua Sizonje ndo kaamua kumpotezea?
 
Zama zimebadilika. Sasa hivi hatawali mjomba, tunaye mbabe.

Kuna siku JK alikuwa kwenye sherehe, sikumbiki jina la sherehe. Nadhani JK alijua mic imezimwa wakati amekaa kwenye kiti.

Wasanii wakaanza kuitwa na moja wapo alikuwa ni Mpoto. JK akasema "huyu naye amekuja kufanya nini'' mic yake ikasikika bila ya yeye kujua. hahahaha

Hizi Zama ni za mbabe, lazima uwe mbabe kutunga mashairi ya mbabe.
 
Zama zimebadilika. Sasa hivi hatawali mjomba, tunaye mbabe.

Kuna siku JK alikuwa kwenye sherehe, sikumbiki jina la sherehe. Nadhani JK alijua mic imezimwa wakati amekaa kwenye kiti.

Wasanii wakaanza kuitwa na moja wapo alikuwa ni Mpoto. JK akasema "huyu naye amekuja kufanya nini'' mic yake ikasikika bila ya yeye kujua. hahahaha

Hizi Zama ni za mbabe, lazima uwe mbabe kutunga mashairi ya mbabe.

Interesting..
 
JK Alikuwa anakosolewa sana na Mpoto ila alikuajaga kumwambia japo unanikosoa sana kwenye nyimbo zako chukua hela hii kajengee nyumba,alimpa nasikia pesa ndefu tuu
 
Ilikuwa ni desturi ktk kila tukio la kitaifa au laaa kumuona Mpoto akitumbuiza na kutunzwa na Sizonje iwe kwenye lile jengo jeupe au pengine!

Siku hizi simuoni tena Mpoto akialikwa upande wa utumbuizaji kama ilivyo ada before or after event,
au mashairi ya kitendawili yamemchefua Sizonje ndo kaamua kumpotezea?
Mpoto yupo China hayupo Tz unaelekea mwezi sasa ivi toka aondoke kwny tamasha sijui la kiswahili
 
Back
Top Bottom