neno mpumbavu ni kaka yake na neno mjinga. Kuna watu humu wanasema kuwa Sugu amemtukana waziri mkuu pinda mimi nasema hapana hajamtukana, mtu ambaye hanafanya mambo ambayo hayaendani na utuuzima anaitwa mjinga akindelea kufanya ujinga anaitwa mpumbavu inaamana ule ujinanga umezidi hadi akawa mpumbavu...
Inawezekana sugu ajakosea...
Nawakilisha...
Inawezekana sugu ajakosea...
Nawakilisha...