Mpwayungu Village, kuwasema vibaya walimu na kuwatukana hakusaidii kuboresha maisha yao. Toa solution wafanye nini ili wafanikiwe?

Jemima Mrembo

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2021
Posts
2,864
Reaction score
8,328
Mimi sio mwalimu na sijawahi kufundisha, ila naona kaka yangu mpwayungu village umekuwa ukiwatolea mashutuma kama yote.

Sasa bro, unaonaje ukaja na solution zotakazo boresha maisha ya walimu? Pia unaweza badilisha mindset yako, badala ya kuwatukana, waombee. Badala ya kuwalaani, wabariki. Hakika Mungu atatenda na kwenye maisha yako pia.
 
MWENZIO TAYARI ANAJUTA KUWA MWANAUME. ANASEMA ANATAMANI AWE MWANAMKE AWE ANALAMBWA TU ANAPEWA PESA..... ASHAKUWA KUKU BWEGE. NDO MAANA YUPO HIVYO....
 
Amesha left group sasa anatamani awe anapelekewa moto tu.
 
Nasubiria kuiona comment ya muhusika kwa hamu, sio kidogo pliz akitupia mnitag🧐🧐
 
Nimewaona wamevaa Kama wanakwaya wanao furahia na kusifu yanayoendelea katika tasnia Yao.
Na shukrani nyingi pia pongezi kuelekea kwa Mtawala.
Nafkiri ni amka ujitetee.
TU WAACHE KAMA WALIVYO
 
Hatutaki maombi yake,yamejaa upungazeze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…