Mpweke!

NYAGI DRY

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2011
Posts
379
Reaction score
165
Mambo vipi jaman mi nikijana mwenye miaka 24, nimemaliza pale mliman mwaka huu, so bado nipo kitaa sijapata raman ya uhakika, nikiwa pale kuna dem nlikuwa nae ila soon 2lipomaliza huwezi amin nimepata info kua kaolewa!

Roho imeniuma sana jaman coz nlimpenda sana, by the way saiv niko single full upweke mwanzo mwisho, so nimeamua kutafta gf mwingine, so aliyeko tayari kuokoa jahaz pliz an pm, awe mweupe kiasi mrefu kiasi coz mi mwenyewe mrefu, asiwe mnene, din yeyote, elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, age 17 up to 24.

Then ntafurahi jaman! Aman kwenu wapendwa!
 
Vp mkuu ulipagawa na mademu wa madesa? Ebu tulia, usiharakishe mambo na kutafuta huruma ya watu{ikiwa ni kweli}
 
Vp mkuu ulipagawa na mademu wa madesa? Ebu tulia, usiharakishe mambo na kutafuta huruma ya watu{ikiwa ni kweli}

Cjaizoea hii hali bra! Then nlikuwa namzimia mby kwn saiv haiwezekan hata kumbrain wash then aje kuwa wangu! Kweli relation is a complex institution for sure!
 
Kumbe pale mlimani ndio hizo ehh! Ngoja first year tuingie! Natania tu bhana. Ila kupata dem kwa net.. Inahitaji umakini.. Ila mbona umewasema weupe tu? Karolight zitakudanganya mkuu. Ohhoooo. 🙂
 
Kumbe pale mlimani ndio hizo ehh! Ngoja first year tuingie! Natania tu bhana. Ila kupata dem kwa net.. Inahitaji umakini.. Ila mbona umewasema weupe tu? Karolight zitakudanganya mkuu. Ohhoooo.

Yaa! Just b careful there fanya masomo haya mambo ya malove 2achie sie! Karolight naijua so mi nataka white natural ka ya kimbulu na kirangi vile!
 
yaa! Just b careful there fanya masomo haya mambo ya malove 2achie sie! Karolight naijua so mi nataka white natural ka ya kimbulu na kirangi vile!
thanx kwa ushauri mkuu. Nakutakia kila la kheri. 🙂
 
Kumbe pale mlimani ndio hizo ehh! Ngoja first year tuingie! Natania tu bhana. Ila kupata dem kwa net.. Inahitaji umakini.. Ila mbona umewasema weupe tu? Karolight zitakudanganya mkuu. Ohhoooo.

Apollo kama unao wawili mpe jamaa m1 bac aondoe upweke natania bwana! Ila kweli msela awe care2 hawa wapnz wa kwny mitandao sa nyingne ni nomaaa!
 
Apollo kama unao wawili mpe jamaa m1 bac aondoe upweke natania bwana! Ila kweli msela awe care2 hawa wapnz wa kwny mitandao sa nyingne ni nomaaa!

Aggrey ucjali kaka! Mi m2 mzima iknw how 2 handle them
 
Duu una age 24,bado 6 yrs ukanyage 30, duu fanya fasta bwn upate mtoto wa kustick nae forever,hey wadau mpo wap? Mpen msela dili apunguze upweke! Ok am out bro nyagidry na mjan"
 
Duu una age 24,bado 6 yrs ukanyage 30, duu fanya fasta bwn upate mtoto wa kustick nae forever,hey wadau mpo wap? Mpen msela dili apunguze upweke! Ok am out bro nyagidry na mjan"
<br />
<br />
elly poa mwana!but mi naamin ntapata au c o kaka! Enjoy there
 
Mambo vipi jaman mi nikijana mwenye miaka 24, nimemaliza pale mliman mwaka huu, so bado nipo kitaa sijapata raman ya uhakika,
<br
mmh! Hela ya azam cola itakuwepo kweli? Hebu tafuta kazi kwanza uwe na ramani.
 
&lt;br<br />
mmh! Hela ya azam cola itakuwepo kweli? Hebu tafuta kazi kwanza uwe na ramani.
<br />
<br />
mapenz sio pesa! Sasa kama wewe unakuja kwa perspective hiyo si dhan kama mapenz yatadum
 
Pita pita Mabibo hostel, hutakawia kupata wa kuondoa upweke
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mapenz sio pesa! Sasa kama wewe unakuja kwa perspective hiyo si dhan kama mapenz yatadum
<br />
<br />
sio pesa ndio maana tumeongelea azam! Lol!
Au unataka tudemand savana.? Kila la heri kaka.
 
Azam ina nunulika mbona?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
sio pesa ndio maana tumeongelea azam! Lol!<br />
Au unataka tudemand savana.? Kila la heri kaka.
<br />
<br />
 
nadhani mtu mwenye digrii anaondoa umasikini kwa asilimia mia moja jaribu kubuni kitu upate hela.. ndugu yangu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…