Vp mkuu ulipagawa na mademu wa madesa? Ebu tulia, usiharakishe mambo na kutafuta huruma ya watu{ikiwa ni kweli}
Kumbe pale mlimani ndio hizo ehh! Ngoja first year tuingie! Natania tu bhana. Ila kupata dem kwa net.. Inahitaji umakini.. Ila mbona umewasema weupe tu? Karolight zitakudanganya mkuu. Ohhoooo.
thanx kwa ushauri mkuu. Nakutakia kila la kheri. 🙂yaa! Just b careful there fanya masomo haya mambo ya malove 2achie sie! Karolight naijua so mi nataka white natural ka ya kimbulu na kirangi vile!
thanx kwa ushauri mkuu. Nakutakia kila la kheri.
Kumbe pale mlimani ndio hizo ehh! Ngoja first year tuingie! Natania tu bhana. Ila kupata dem kwa net.. Inahitaji umakini.. Ila mbona umewasema weupe tu? Karolight zitakudanganya mkuu. Ohhoooo.
Apollo kama unao wawili mpe jamaa m1 bac aondoe upweke natania bwana! Ila kweli msela awe care2 hawa wapnz wa kwny mitandao sa nyingne ni nomaaa!
<br />Duu una age 24,bado 6 yrs ukanyage 30, duu fanya fasta bwn upate mtoto wa kustick nae forever,hey wadau mpo wap? Mpen msela dili apunguze upweke! Ok am out bro nyagidry na mjan"
<brMambo vipi jaman mi nikijana mwenye miaka 24, nimemaliza pale mliman mwaka huu, so bado nipo kitaa sijapata raman ya uhakika,
<br /><br<br />
mmh! Hela ya azam cola itakuwepo kweli? Hebu tafuta kazi kwanza uwe na ramani.
<br />Tafuta hela kwanza mkuu...watakufuata wenyewe.
<br /><br /><br />
<br /><br />
mapenz sio pesa! Sasa kama wewe unakuja kwa perspective hiyo si dhan kama mapenz yatadum
<br /><br /><br />
<br /><br />
sio pesa ndio maana tumeongelea azam! Lol!<br />
Au unataka tudemand savana.? Kila la heri kaka.
<br />Pita pita Mabibo hostel, hutakawia kupata wa kuondoa upweke