kila tangazo la chuoni kwenu unalitupia humu, sizani kama ilikuwa ni muhimu sana humu JF, kama sikosei utakuwa ni first year wewe, ambae huamini kama leo upo chuo.
mimi ningekua mwalimu wako ningekushauri ukajifunze kuandika kwanza!!
Lugano kawaida kila chuo kina utaratibu wake so wewe piga shule tu
kizazi cha mulugo jamani,JF imevamiwa
Aisee wewe pia ni mmoja wa wanachuo watarajiwa wa SUA? Kazi kwelikweli! Binafsi nimeshindwa kukuelewa unamaanisha nini katika bandiko lako humu!
Kwani kuna shida gani kuandika kwa kiswahili badala hii ya ki-mulugomulugo?
mi nikadhani ni screening kumbe ni screnning!
sasa kuna umuhimu gani wa hii test sababu naona haiongezi wala haipunguzi!
Hata huko siyo kubaya dogo, piga kitabu kijana.
Ila ulivyotusumbua kipindi kile unalilia BVM nilitamani nikuone halafu nikutie makofi ya haja!! Ha ha ha haaaaaaaaa, kwa kweli ulisumbua sana na hiyo Family consumer yako Bora wamekusikia angalau utulie huko huko kwa ma-injinia.
we mie c wa mulugo n wa wazr wa elimu mulugo k?
ndo maana uandishi wako nina mashaka
Nimekubali Elimu Haina Mwisho. Leo nimeambulia neno jipya la Kiingereza na maana yake: SCRENNINGmi nikadhani ni screening kumbe ni screnning!
sasa kuna umuhimu gani wa hii test sababu naona haiongezi wala haipunguzi!
Nimekubali Elimu Haina Mwisho. Leo nimeambulia neno jipya la Kiingereza na maana yake: SCRENNING