Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Wandugu: Ni wapi wamesema baada ya kurudisha mali hawatachukuliwa hatua za kisheria in regards to their actions?
Be specific kinachoruhusiwa hapa!
Soma hii
Ndani yake kuna hili limeongelewa kwamba kifungu cha 42 -2 kinampa mamlaka mwanasheria mkuu, uwezo wa kuiomba mahakama inayomtia hatiani mshutumiwa wa kosa la rushwa kutoa amri ya kutafisha mali aliyopata mtu huyo kwa rushwa (corruption) na wala sio bribing.
Nadhani waliendelea zaidi na ilikuwa ishawekwa wazi kabisa kwamba wakati wa uchunguzi PCCB ina mamlaka ya kufunga bank account etc
yaani wamerudisha mali ili yaishe kimya kimya. Basi si waambiwe tu warudishe mali yaishe. Maana kutakuwa na umuhimu gani wa kuwafikisha mahakamani wakati wamesharudisha mali?
Soma hii
Ndani yake kuna hili limeongelewa kwamba kifungu cha 42 -2 kinampa mamlaka mwanasheria mkuu, uwezo wa kuiomba mahakama inayomtia hatiani mshutumiwa wa kosa la rushwa kutoa amri ya kutafisha mali aliyopata mtu huyo kwa rushwa (corruption) na wala sio bribing.
Nadhani waliendelea zaidi na ilikuwa ishawekwa wazi kabisa kwamba wakati wa uchunguzi PCCB ina mamlaka ya kufunga bank account etc
Wandugu: Ni wapi wamesema baada ya kurudisha mali hawatachukuliwa hatua za kisheria in regards to their actions?
Soma hii
Ndani yake kuna hili limeongelewa kwamba kifungu cha 42 -2 kinampa mamlaka mwanasheria mkuu, uwezo wa kuiomba mahakama inayomtia hatiani mshutumiwa wa kosa la rushwa kutoa amri ya kutafisha mali aliyopata mtu huyo kwa rushwa (corruption) na wala sio bribing.
Nadhani waliendelea zaidi na ilikuwa ishawekwa wazi kabisa kwamba wakati wa uchunguzi PCCB ina mamlaka ya kufunga bank account etc
definition ya rushwa unayotumia ni ipi? rushwa kwa maana ya corruption, au rushwa kwa maana hongo!Hili suala halina uhusiano na rushwa,kilichofanyika hapa ni watu wametumia nyaraka za kugushi ili kujipatia pesa.HUU NI WIZI, ni sawa na mtu yeyote anayetumia cheki bandia kujipatia pesa ktk benki yoyote ile.
Ahsante JK kwa uongozi wako, wenye macho tunauona na wenye masikio tunausikia. uzi huo huo, tunakuombea Mwenyeezi Mungu akuepushe na mahasidi wasioona unachokifanya kwa roho zao mbaya na akuepusha na fitna na majungu na visasi vya hao unao-washughulikia.
Haya wale wanaolonga longer humu waanze kuonyesha uzalendo wao, namba hizo.
Ahsante JK kazi tunaiona. Wengine waanze kukaa mkao wakula zamu yao inakuja.
Naomba mrudie tamko la Rais kuhusu EPA na ule uchunguzi halafu muone kuwa kile kinachofanyika sicho kinachotakiwa kufanyika.
So let me get is straight and be clear, both EPA and CIS money is being repaid back to BOT?
What will be actions to those who were involved on EPA? Maana pesa za EPA inasemekana ziliibiwa. Pesa za CIS zilikopwa. We need to distinguish the two and I hope our waandishi will push for clarification from BOT and Centra; Governmement.
Kama ni za EPA ambazo zasemekana Zimeibiwa au Kuhujumiwa kwa kuundiwa makampuni ya mifukoni, je ni hatua gani za kisheria zitafuata?
Hizi za CIS, mikopo inarudishwa baada ya zaidi ya miaka 10. Je wakopaji hawa wataruhusiwa kukopa tena? Je BOT na Hazina zitahakikisha vipi kuwa hawa default borrowers do not receive a positive credit rating for future loans from any financial institution? who will give them a guarantee?