Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
2023, alijenga visima vya maji Kenya, Zimbabwe, Uganda, Somalia na Cameroon, na kusaidia watu 500,000 kupata maji safi.
How come mwamba hakuwa celebrated na viongozi hawa? Hakuwa granted kama shujaa hata katika kikao chochote cha AU? Na wakati alichofanya ni kuokoa maisha ya malaki ya watoto na usalama kwa wanawake/mabinti?
Guso lako limepotea hivi hivi ila an average african politician akienda kufungua kisima kimoja anabeba jamii yote na wanahabari juu na ikifika anatafuta wapambe kwa kumpamba mwaka mzima kuwa ametenda wema mkuu.
How come mwamba hakuwa celebrated na viongozi hawa? Hakuwa granted kama shujaa hata katika kikao chochote cha AU? Na wakati alichofanya ni kuokoa maisha ya malaki ya watoto na usalama kwa wanawake/mabinti?
Guso lako limepotea hivi hivi ila an average african politician akienda kufungua kisima kimoja anabeba jamii yote na wanahabari juu na ikifika anatafuta wapambe kwa kumpamba mwaka mzima kuwa ametenda wema mkuu.