Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mr Blue wa siku hizi sio yule wa miaka ile.
Siku hizi jamaa kabadilika sana yani anajisikia kweli mpaka anaboa.
Hivi ni nani anamdanganya huyu jamaa kwamba na yeye ni staa hapa TZ? Hivi tukisema tupange listi ya mastaa Mr Blue naye atatoka? Si itakuwa ajabu la mwaka hilo.
Miaka ya nyuma jamaa alikuwa homie sana yani haringi wala nini halafu hajikwezi ila siku hizi doooooh anaboa,imefika pahala ananata mpaka kwa mastaa wenzake.
Mwanzoni Insta alikuwa amewafollow mastaa wengi tu (2K+)ila siku hizi baada ya kuota mapembe kawa unfollow wote amebakisha 31 tu na hakuna staa hata mmoja wa kibongo.
Ameamua kum unfollow mpaka Diamond Platnumz na crew nzima ya wasafi .
Kwa mwendo huu jamaa atazidi kupotea.
Siku hizi jamaa kabadilika sana yani anajisikia kweli mpaka anaboa.
Hivi ni nani anamdanganya huyu jamaa kwamba na yeye ni staa hapa TZ? Hivi tukisema tupange listi ya mastaa Mr Blue naye atatoka? Si itakuwa ajabu la mwaka hilo.
Miaka ya nyuma jamaa alikuwa homie sana yani haringi wala nini halafu hajikwezi ila siku hizi doooooh anaboa,imefika pahala ananata mpaka kwa mastaa wenzake.
Mwanzoni Insta alikuwa amewafollow mastaa wengi tu (2K+)ila siku hizi baada ya kuota mapembe kawa unfollow wote amebakisha 31 tu na hakuna staa hata mmoja wa kibongo.
Ameamua kum unfollow mpaka Diamond Platnumz na crew nzima ya wasafi .
Kwa mwendo huu jamaa atazidi kupotea.