Mr. Blue afunga ndoa

Bilionea Asigwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2011
Posts
16,515
Reaction score
28,506
Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 hatimaye ameamua kufunga ndoa na mama wa watoto wake Waheeda.

Mr Blue amefunga ndoa na Waheeda ambaye amezaa nae watoto wawili wa kwanza akiwa wa kiume na wa pili akiwa wa kike, Mr Blue amefunga ndoa kimya kimya bila watu wengi kufahamu na inatajwa kuwa asilimia kubwa ya waliohudhuria ni ndugu wa familia na baadhi ya marafiki.





Source: PICHA 8: Mr Blue kafunga ndoa na mama watoto wake | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
 
Damu yako wewe vipi mkuu haaaaa..
Ha ha ha ha
damu yangu chafu sana aisee, naishia kupata kina Maimuna wa Tandale tu, wale ambao ma-role modal wao ni kina Wema Sepetu na Aunt Ezekiel, ipo siku ntaenda kigamboni kuogelea asubuhi mpaka jioni kusafisha nyota, we subiri tu
teh teh teh ,
 
Ha ha ha ha
damu yangu chafu sana aisee, naishia kupata kina Maimuna wa Tandale tu, wale ambao ma-role modal wao ni kina Wema Sepetu na Aunt Ezekiel, ipo siku ntaenda kigamboni kuogelea asubuhi mpaka jioni kusafisha nyota, we subiri tu
teh teh teh ,

Haaaa mambo ya damu ya kunguni...akupende nani

Kila.la heri mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…