Kioo cha kubugia maunga??Jana ijumaa nilimuona msanii Mr Bluu akiwa mahakama ya wil;aya ya kinondoni analia baada ya kushushwa kwenye karandinga la polisi , pia nikaona watu nadhani ni ndugu zake wakiwa wamechanganyikiwa kuwauliza hawakunijibu ..lakini kwa uzoefu wanu ni criminal case kwa anaejua mtu huyu ana kesi gani?...kumbuka nahoji kwa kuwa yeye ni kiooo cha jamii na mimi ni mmoja wa wana jamii na hii ni jamii forum!!!!!!!
AstagafulliahKijana kama atakuwa kazingua kitaa kwa makusudi ngoja tu akanyee debe wajanja tujisogeze kwa mtoto Wahyda.
Astagafulliah
Hilo chaka umetupa mkuu, [emoji23] [emoji23] [emoji23]Astagafulliah
hahahahaAstagafulliah
Hahahaaaaa ulitaka kushuka verse hapo mwishoniJana ijumaa 9th june 2017 nilimuona msanii Mr Bluu akiwa mahakama ya wilaya ya kinondoni analia baada ya kushushwa kwenye karandinga la polisi , pia nikaona watu nadhani ni ndugu zake wakiwa wamechanganyikiwa kuwauliza hawakunijibu ..lakini kwa uzoefu wangu ni criminal case kwa anaejua mtu huyu ana kesi gani?...kumbuka nahoji kwa kuwa yeye ni kiooo cha jamii na mimi ni mmoja wa wana jamii na hii ni jamii forum!!!!!!!