Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Marehemu mwigizaji kutoka nchini John Okafor (62) maarufu Mr Ibu anatarajia kuzikwa leo Juni 28, 2024 katika mji aliozaliwa wa Amuri, Jimbo la Enugu.
Mr Ibu alifariki dunia Machi 2, 2024 wakati akiendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Evercare iliyopo nchini Nigeria ikiwa ni siku 118 toka alipofariki.
Kifo cha mwigizaji huyo kilitokana na matatizo yaliyotokana na kukatwa kwa moja ya miguu yake.