Naam hongera sana Mr.II a.ka Sugu, uamuzi huo hauna shaka, kwanza ni haki yako kikatiba, mimi binafsi nakupongeza sana, ningetamani vijana wengi wenye upeo wajaribu kuikomboa nchi yao kwa kupitia milango mingine, maana huu mlango wa zamani umeshaoza na siku yoyote utakuja kuanguka japo watu wameushikilia ili usianguke tena wanahasira ile mbaya, naomba tukupe support kubwa . Vijana tukiacha kunung'unika na kuamua kufanya mambo kwa vitendo tunaweza kufanya mambo makubwa kwa Taifa letu, hizi sera za zidumu fikra za mwenyekiti enzi zake zimeshapita tokea enzi za akina KINJENKITILE NGWALE, sasa hatudnganyikiiiiii