Mr. Masementi: Mbunge aliyestaafu Singida Magharibi

Mr. Masementi: Mbunge aliyestaafu Singida Magharibi

Fundi Madirisha

Senior Member
Joined
Jun 30, 2020
Posts
184
Reaction score
988
MR MASEMENTI, hili ni jina alilobatizwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi 2015- 2020 ndugu Bariki Kingu. Hili ni jina maarufu kutokana na tabia ya huyo ndugu kudhani kila wakati akiulizwa kero za wananchi anafikiria wanahitaji Mifuko ya sementi. Cha kuna tukio alilowahi kupita akaacha kuahidi mifuko ya saruji hata kama hitaji lao sio hilo.

Huyu jamaa alikuwa na uwezo wa kwenda Dukani kwa tajiri anayefahamiana naye vizuri akamrubuni amape mikufuko ya saruji na kujaza fuso nzima kisha kwenda kila kijiji kwenye jimbo na kuwahadaa wananchi kuwa huko alikotoka ameacha mifuko ya sementi wakati Mifuko aliyotoka nayo kwa tajiri idadi iko vile vile,akitoka hapo akienda kijiji kinachofuata anawadanganya kuwa ameacha mifuko mingine hali ya kuwa hajaacha hata mfuko moja, hivyo hivyo ni sementi! sementi! sementi. Chakushangaa hiyo fuso anayozunguka nayo haipungui Iko pale pale. Huu ni usanii wa hali ya juu sana
 
Kazi kweli kweliii
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli huyo msanii
 
Siasa za maji taka yaani za kuchafuana. Naona hapa kuna mtu amepewa kandarasi ya kumchafua KINGU
 
MR MASEMENTI, hili ni jina alilobatizwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi 2015- 2020 ndugu Bariki Kingu. Hili ni jina maarufu kutokana na tabia ya huyo ndugu kudhani kila wakati akiulizwa kero za wananchi anafikiria wanahitaji Mifuko ya sementi. Cha kuna tukio alilowahi kupita akaacha kuahidi mifuko ya saruji hata kama hitaji lao sio hilo.

Huyu jamaa alikuwa na uwezo wa kwenda Dukani kwa tajiri anayefahamiana naye vizuri akamrubuni amape mikufuko ya saruji na kujaza fuso nzima kisha kwenda kila kijiji kwenye jimbo na kuwahadaa wananchi kuwa huko alikotoka ameacha mifuko ya sementi wakati Mifuko aliyotoka nayo kwa tajiri idadi iko vile vile,akitoka hapo akienda kijiji kinachofuata anawadanganya kuwa ameacha mifuko mingine hali ya kuwa hajaacha hata mfuko moja, hivyo hivyo ni sementi! sementi! sementi. Chakushangaa hiyo fuso anayozunguka nayo haipungui Iko pale pale. Huu ni usanii wa hali ya juu sana
Wa njombe anaitwa simbilisi baada ya kuhamasisha ufugaji wa simbilisi
 
Masimenti tunayemjua sisi ni yule alikuwa mchezaji maarufu wa mpiara wa miguu.
Mimi niko Singida, hili jina ndiyo mara ya kwanza kulisikia.
Hata hivyo mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Huyu kijna amesaidia sana Jimbo la Singida Magharibu. Pamoja na kutotimiza ahadi zote lakini ametimimiza zaidi ya 75% ya ahadi zake.
Ni kweli anapenda kula bata kwa sana tu.
Sifa moja kubwa aliyonayo huyu kijana ni kuchanganyika na watu (social interaction ) na ni pole, ana heshima kwa wanaomzidi umri bila kujali kipato chao na hana maringo.
 
Back
Top Bottom