The Farmer
JF-Expert Member
- Jan 7, 2009
- 1,658
- 559
jamaa sio mida hii juzi kati tulikuwa naye chobingo moja mchizi anatia huruma
lakini ana ECZMA au lack of scrub??????
Kwifenda kya???????mbon tafo?LOL
Hivi mbona naona kama instead ya kusikitika watu kama vile wanashangilia.......
Kama Mr Nice anapitia anga hizi au kuna mtu anamfahamu amwambie kwamba really character is shown not when you are on top.... But when you are down and you have the strength to get up and carry on......
Na kwa wale ambao bado wako kwenye Game wakumbuke maneno ya Eminem.....
Kwifenda kya???????mbon tafo?LOL
na rafiki yake dudu baya yuko wapi?
Hii ndio tabia zetu watanzania tunacheka mwenzetu akifulia kisa mnapenda kumuoana akiwa chini. Ndio maana hatuendelei