KILA JUMANNE:huwa anatumbuiza MASAI CLUB pale karibu na mango-garden.halafu jamaa anaongoza kwa kuomba bia mazee!yani akishaingia tu inabidi wadau tujifiche,maanake ni kama luba.
kwa mfanu jumanne iliyopita alikunywa sana konyagi.............
anaebisha tukutane nae kesho club masai
This is good marketing strategy for Mr. Nice, kaona kurudi juu tena haitawezekana,njia pekee iliyobaki ni kupitia "gospel", ila sijuwi kama ile miiko ya kiganga ndo imekwisha na jamaa yupo "free" sasa au vp, maana sifikirii kama gospel inaendana na uchawi.
ina maana MR nice mziki wake ulikuwa unaenda na ushirikina
looh maybe ndo maana kaamua kurudi kundini
Mh! Siamini kama anatumia ushirikina kwenye mashairi kwa hio kuna thread huku pia waandikaji wanatumia ushirikina?
Mpwa taratibu, unatoka nje ya mada, shauri yako.