Mr. Nice Aokoka! Hallelujah!

Hayakuhusu baba, wewe nenda vacation yako makka. Usipookoka huko basi jua utakanyagwa kanyagwa kama unyasi wakurudishe hoi. Usimchezee Yesu. Fanya utani na Mwamedi tu.
Acha chuki wewe,mtumzima wewe...unakuwa kama mtoto vile.
 
Acha chuki wewe,mtumzima wewe...unakuwa kama mtoto vile.
Junius,
Ni kweli wala hujasema uongo mimi ni mtu mzima na Chuki sina kwa huyu ndugu yako ila nimeona nimjibu hivyo kwa sababu yeye ndiye mwenye chuki dhidi ya ulokole na dhidi ya Mr Nice, wakati anakwenda hija.

Anaweza kupigwa mawe huko wakifikiri yeye ni shetani.
Si unajua ukienda na dhambi huko haurudi? ndio maana anajaribu kutafuta maombi yetu arudi salama. Tusipomuombea heri atapigwa mawe tu na kukanyagwa.

Bora nimsaidie mapema.
 
Hivi GeoDavis anahubiri na watu wanaokoka?? nimjuavyo yeye ana upako wa kuponya hana karama ya kuhubiri wokovu.

enewei nadhani mr. nice atakuwa kiumbe mpya akimaanisha hivyo au la ataota mkia sasa zaidi ya kufulia
wokovu siyo sera ya geordavie.
yeye amekazia kwenye kuponya na kutenda miujiza tata.
hongera mr nice kwa kujiunga na mtata mwenzio geordavio
 
Hii dini hii!!!!!!!!! Mr Nice si alikuwa mkristo tokea awali? Muokovu anajulikana na Mungu, sio kuripoti kwenye vyombo vya habari, eti mimi leo nimeokoka! Rabish
 
Safi sana Mr. Nice kila kinywa kitamkili Yesu ni BWANA. Kimbilio la Wanyonge na Waliokataliwa na Kuzodolewa na Jamii kwamba Wamefulia. Kwa Yesu hawajafulia ni matajiri wa Mioyo
 
HUYU SI YULE ALIYEKUWA MNUNUZI MKUBWA WA MASHOGA MAGOMENI?
KAOKOKA HIZO HERENI ZA NINI?
VP KUHUSU SKENDO YA KUATHIRIKA?
 
anahangaika kama kuku anataka kutaga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…