Acha chuki wewe,mtumzima wewe...unakuwa kama mtoto vile.Hayakuhusu baba, wewe nenda vacation yako makka. Usipookoka huko basi jua utakanyagwa kanyagwa kama unyasi wakurudishe hoi. Usimchezee Yesu. Fanya utani na Mwamedi tu.
Junius,Acha chuki wewe,mtumzima wewe...unakuwa kama mtoto vile.
wokovu siyo sera ya geordavie.Hivi GeoDavis anahubiri na watu wanaokoka?? nimjuavyo yeye ana upako wa kuponya hana karama ya kuhubiri wokovu.
enewei nadhani mr. nice atakuwa kiumbe mpya akimaanisha hivyo au la ataota mkia sasa zaidi ya kufulia
Nimesikia amefariki. Ni kweli?Safi sana Mr. Nice kila kinywa kitamkili Yesu ni BWANA. Kimbilio la Wanyonge na Waliokataliwa na Kuzodolewa na Jamii kwamba Wamefulia. Kwa Yesu hawajafulia ni matajiri wa Mioyo
Hata mimi nisikia hivyo janaNimesikia amefariki. Ni kweli?
Hii thread ni ya mwaka 2009Na kingine wanasema amekufa
Hii thread ni ya mwaka 2009 mkuuHUYU SI YULE ALIYEKUWA MNUNUZI MKUBWA WA MASHOGA MAGOMENI?
KAOKOKA HIZO HERENI ZA NINI?
VP KUHUSU SKENDO YA KUATHIRIKA?
Bado anaishi?Hii thread ni ya mwaka 2009 mkuu
tobaaaa nimeingia choo cha kike nadhan ni ya leoHii thread ni ya mwaka 2009 mkuu