poleni mkuu,ila habari hii ujaitendea haki kumbuka ili ni jukwaa la siasaMsanii wa kizazi kipya Mr.Nice amelazwa ktk dispensary ya Frorida mjini kahama...Ndugu jamaa na marafiki tunaomba msaada wenu kwani hata kula anakula kwa mpira na choo pia anatumia mpira..fika dispensary ya Frorida mtamkuta...
Wakati anazo alitumia na nan?
Wakati anazo alitumia na nan?
Pole sana wadau....
Ila nakumbuka CCM ilimtumia sana 2005 kwenye kampeni zao, saizi wamemsahau duuuh