Mr Nice kawa dereva wa bodaboda?

Liwe fundisho kwa ambao hayajatufika! Tujaribu kuishi maisha ya kawaida hata kama umejaaliwa utajiri.
 
Si asaini ile WASAFI tu na yeye awe na wale wakina Womanizer
 
Mambo ya kudharau kazi ni ya kishamba sana, yani kuendesha bdbd unaanzisha uzi?
 
Kuna tatizo kwani....?
We huoni kama kuna tatizo? Jamaa alishawahi kukiri account yake ilishawahi kusoma salio la 1billion, lkn amezichezea now amejiajiri boda boda mtaji hata million 3 haufiki.
 
Wabongo bhana!,kweli kikulaachooo,wanaona geleee...mhhh maisha haya yanatana hisabati Sana,wapambe wote wamekimbia.
 
Ya NGOSWE MWACHIE NGOSWE MWENYEWE
unafahamu kuwa wewe pia ni Ngoswe mtarajiwa?usipojifunza chochote kwa ngoswe huyu wa sasa utaishia kuwa ngoswe wa ajabu when you get at the bridge!! You better wake up and live.
 
acha ujinga wewe unaweza kuwekeza kwenye mali na bado ukafilisika ukauza kila kitu...unaweza kufanya biashara ukapata hasara ikafa.....maisha hayana formula
 
Mhh! maisha yanapanda na kushuka mimi mwenyewe huwa nampaga lift mkuuwa wa matraffic mstaafu wa visiwani wa miaka ya nyuma huwa namkutaga akipiga mguu (sio mazoezi) cha kunote hapa kuwa ni kuishi kwa uzuri na watu, tena hasa hawa maaskari ndio wanatakiwa waishi vizuri na watu kwelikweli.
 
acha ujinga wewe unaweza kuwekeza kwenye mali na bado ukafilisika ukauza kila kitu...unaweza kufanya biashara ukapata hasara ikafa.....maisha hayana formula

Mdogo wangu "If you fail to plan, you are planning to fail" Nani kakufundisha kuwa maisha hayana formula?

Inaonyesha upeo wako ni mdogo sana na sidhani kama niliyotaka kukufundisha yatakujenga wacha nibaki nayo, inaonyesha una kiburi na hauko kwenye kujifunza sababu unajua kila kitu.

Fahamu njia za kujifunza kwa kuuliza, ili uongeze uelewa halafu upinge kwa hoja si kwa kuanza kukashifu nafsi za watu.

Endelea kulaumu maisha na dunia halafu wenzako wanaojilaumu huwa wanajiuliza wapi walikosea na pia si lazima ujifunze kupitia makosa yako, hata makosa kama haya ulitakiwa ujiulize Mr. Nice alikosea wapi ili na wewe usije kutumbukia kwenye hilo shimo.

Hizo sababu unazozieleza hapa ni mawazo ya kimasikini na ukishikilia msimamo huo hutaendelea kama kwenye maisha yako wala nafsi yako.

Maisha yana fomula ila kwakuwa upeo tunatofautiana sitapoteza muda wangu kukuelimisha sababu nimeeleza juu na zinajitosheleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…