mr nice

cholo

Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
97
Reaction score
7
anapiga show kwa macheni nakulipwa mia tano na huyu jamaa alikuwa na hela katesasana kwenye game maisha bwana
 
mhh mia tano..anakoelekea siko aisee!
 
ndio manaake na beer kachoka ile mbaya
 
anapiga show kwa macheni nakulipwa mia tano na huyu jamaa alikuwa na hela katesasana kwenye game maisha bwana




ila na wewe.....kwa macheni ulifuata nn?
 
kwa ujumla jamaa game alianzia pale akitokea zenji,so km karudi sio mbaya,ila kuchoka kachoka yani hata ukimpa biere anafanya kumsomesha kaunta ampe hela arudishe bia
 
siku hizi hakuna kwa macheni. pale pamebaki ni dangulo. harafu munaongea kishabiki sana. hana hela kama alizo kuwa nazo lakini vilevile hajachacha kiasi hicho. ana miaka saba hajafanya mziki. je wewe ukikaa miaka saba bila kazi utakua na hela?. anakuja sasa kivingine. kashakamilisha album na kutoa single moja ya kuiwakilisha ambayo ishaanza kufanyiwa video na katikati ya mwezi huu video itatoka. alikuwa kapumzika zake pemba. kumbuka bandi yake ya bush band bado inachapa kazi kama kawa.
 

Duh, hatA wewe ni memba huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…