cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 498
Mnamsemaga bure hebu ona anavyothaidia,eti pipi si ndio basic need ya watoto wa tanganyika eeh!!!
is it lovely or anoying!!?u decide!.
lav u all.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Prezidaa huwa anatembea na pipi kwenye gari?:becky:
Kumbe Prezidaa huwa anatembea na pipi kwenye gari?:becky:
heri akupaye elimu kuliko chakula tena pipi anewei tuombe Mungu
I terribly missed u mama bora umerudi. Nice tym!
Yes...a critical thinking.....asante kwa hio picha
Eti mtoto hajala tangu juzi na hajui kama leo atakula halafu unampa pipi ya cent 50!! Puuuuu............Nilitaka ku..... nikasita......Mimi akipita ombaomba pale getini huwa nawaambia vijana wampe unga/maharage/mchele/mafuta/kakitunguu/chumvi kwa umaskini wangu!! Sasa leo eti unampa pipi, sijui biskuit za Azam. Kulaleki!! Wapinzani ingepasa wapate achieve ya picha chefuchefu zote wazunguke nazo kwenye kampeni. hivi inaruhusiwa jamani kupakana madongo?. Unajua wao waliaanza kwa kujihami eti watafanya kampeni za amani!! kumbe wanaogopa wasitibue mambo.
![]()
Mambo mswano kwa saaaana mwana wane....... Msiwe na wasiwasi, ni swaumu ........ ahhh Kisukari na Pressure.