HAHAH housegirlHahaha you made my morning
mwenzangu, huyu mbaba jaman ana matatizo, anapata wapi muda wa kuzungumiza habari za watoto tena wa kike ambao hata sio umri wake,huyu mzee apimwe akili jaman sio mzima, yani anapenda attention sijawahi kuonHaaa sijui nilijua ni nani kUmbe Ke Mutuz lols
nilishaposti uzi humu tetesi ulaya ukiwa genius wanakuchoma sindano unakuwa chizi. Cheseya degrii tatu wewe halaf kiherehere unajifanya kujua jua kwenye nch za watumwenzangu, huyu mbaba jaman ana matatizo, anapata wapi muda wa kuzungumiza habari za watoto tena wa kike ambao hata sio umri wake,huyu mzee apimwe akili jaman sio mzima, yani anapenda attention sijawahi kuon
Ha ha ha Msaga Sumu anachekeshaga na habari zake lolGelofriend Evelyn Salt umeshapita kwa ndugu yako msaga sumu khaaaa
Yani ananichekeshaga khaaa, sijui huwa anawaza nini
Lina mafuta mafuta atakuwa alikuwa anakaanga samaki huoni hapo ni jikonimbona shati la lemutuz kama lina michuzi???? au macho yangu mabovu.