Kwani kuingia Dar ukiwa mtu mzima Kuna tatizo gani?Touch kaingia Dar ashakuwa mtu mzima na akili zake akitokea songea
Na hii mambo ya kuonesheana umwamba kwa vitu ambavyo navina hela ni upuuzi tu
If doesn't make money, it doesn't make sense mzee
Sio tatizo ila aliyemuita Touch ni mwanaume wa dar kwa alichokisema ndio nilimuonesha tu kuwa jamaa kafanya kitu kwa akili na sio fear ambazo wanazipa tag ya "wanaume wa dar"Kwani kuingia Dar ukiwa mtu mzima Kuna tatizo gani?
This niqqa so mushy mane πππ mwanaume unaogopa vipi kupambana? Can somebody play for this nigga the movie "Friday"...He must learn somethn out of it!Ikitokea Nimepata Tatizo Lolote La Kiusalama, Kuanzia Muda Huu Unapoona Hii Post Atakuwa Anahusika Rashid Makwilo Almaarufu Kama Chid benz na Genge Lake La Wahuni.
Kwasababu Wamenifuata zaidi ya Mara Nne au Mara Tano Kutaka Kunifanyia Fujo Na Kunipiga Lakini Walishindwa Kutokana Na Mazingira Jinsi Yalivyokuwa.
Kuna Siku Kulikuwa Na Shughuli ya Zuchu Mlimani City, Ilikuwa ni Mahaba Ndindindi Hii ndio Ilikuwa Sababu Ya Kila Kinachoendelea Sasa Kati Yangu Mimi Na Yeye, Tulipishana Kauli na Chid Benz Kwasababu ya Yeye Kunifwata zaidi ya Mara Tatu akiniomba Nimpatie elfu Hamisini. Na Nilipokataa Zaidi ya Mara Tatu Alitoa Maneno Machafu Round Ya Nne Ambayo Mi Nilkuwa Naelekea Toilet.
Baada Ya Hapo Tulitupiana Maneno Kibinadamu Nilishindwa Kuvumilia Kuona Mtu Ambaye Namjibu Zaidi Ya Mara Tatu Kwamba Sijabeba Pesa Anaanza Kunitolea Majibu Mabaya, Nadhani hiyo ni Sababu amenitafuta Sana Kunifanyia fujo. Yeye akiwa Na Wenzake zaidi Ya Sita.
Leo Wakati Natoka Ofisini Sinza Palestina Nimewaona Wakiwa Wamesimama Kwenye Kijiwe fulani Karibia na Palestina Hospital. Baada Ya Mimi Kupita Walinifwatilia Nadhani Walinifuata Taratibu Lakini Kwasababu Nilikuwa Natembeza Gari Kwa Kasi Kidogo Wakashindwa Kunifikia, Cos Wao Walikuwa Na Bajaji Na Palikuwa Hapana foleni ya Kutisha.
So Niliweza Kupita Nikafika Sehemu Ambayo Nilikuwa Naenda. Lakini Sio Mara Moja Wala Sio Mara Mbili Huyu Mtu Ananitafuta Na Lengo Lake Kubwa Anataka Kunidhuru.
Nashtaki Hapa Kama ni Ukurasa Wangu Ambao Kila Mtu Anaweza Kumpa Taarifa Mwenzie Kwasababu ya hii post.
Lakini Pia Ikiwa Ni Kama Sehemu Ya Mimi Kujiweka Salama. Kwasababuu Nimeshindwa Kwenda Polisi Usiku huu. Kutokana na Kilichotokea So Sina Amani Ya Kunitosheleza. Kwa Hiyo Ikitokea Chochote Kibaya Juu Yangu. Anayehusika Ni Rashid Makwilo almaarufu Kama Chid Benz.
Nimefanya hivi Sio Kwasabbu Nashindwa Kumdhibiti. Kumpiga au Kufanya Kitu Chochote. Bali Naomba Sheria Ishike Mkondo Wake. Kwasababu Nimesikia ni mtu ambaye anajihusisha na Vilevi Vikali. Pia Inasemekana Kwamba Anatumia Madawa Ya Kulevya Japo Mimi Sina Uhakika. Lakini Nipo Hapa KwaajiliYa Usalama Wangu Binafsi.View attachment 2426227
T touch anaogopa kupigwa nakoz na mteja πMwili jumba kumbe ndani nyaya (HOHO) machoco wamekuwa wengi
Weeee jamaa achana na movies za black gangs za Brooklyn πππThis niqqa so mushy mane πππ mwanaume unaogopa vipi kupambana? Can somebody play for this nigga the movie "Friday"...He must learn somethn out of it!
Kingine, maelezo hayana substance, Chidy must be on drugs ila sio kichaa yule, haimake sense someone trolling on you eti kisa alikuomba elfu 50 ukamkatalia. Theres more than that, likely dhuluma and he gots to pay the price mr. T fuckn touchez.
Hela ya muhuni hailiwi kizembe af unaleta dharau. Chidi is hood and gangstaπ let him prepare for some ass whoopin, kama T Touches alijiona mjanja kwenye show ya Zuchu its high time now.
ππππππ apambane sasa mbona anakimbilia polisi!Weeee jamaa achana na movies za black gangs za Brooklyn πππ
Huku kwa ground ni kupambana, after all kupigana na kundi la watu ambao hawana cha kupoteza bhasi loss inakuwa kwa upande wako
Sasa uweke vitu vingi at risk ili kulinda men pride, jombaa πππ
Acha uongo wewe jamaa,unaota nini?Aisee chid aliwahi kumpiga Profesa Jay
Mkuu, ni kweli, ilikuwa ni kati ya 2005-2007 hivi.Acha uongo wewe jamaa,unaota nini?
Hakumpiga,alimtukana ,walipotaka kupigana watu wakaamua,Sasa hiyo ya kwamba alimpiga sijui mnatoa wapiMkuu, ni kweli, ilikuwa ni kati ya 2005-2007 hivi.
...πππ....Huyu jamaa sura yake inatiaga huruma ππ
Ndio pona yake sasa hajazoea mambo ya gangs πππππππ apambane sasa mbona anakimbilia polisi!
Uongo ni upi sasa hapo kijana ,alivamia kwenye Steji Jay akiwa ana perform ni muda kidogo 2008 nadhani kipindi hicho bado ulikua shule ya msingi, usipende kukurupuka au wewe ni ndugu na Brother K?Acha uongo wewe jamaa,unaota nini?