Mr Ttouchez: Nikipata tatizo lolote mhusika Chidi Benz

This niqqa so mushy mane πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mwanaume unaogopa vipi kupambana? Can somebody play for this nigga the movie "Friday"...He must learn somethn out of it!

Kingine, maelezo hayana substance, Chidy must be on drugs ila sio kichaa yule, haimake sense someone trolling on you eti kisa alikuomba elfu 50 ukamkatalia. Theres more than that, likely dhuluma and he gots to pay the price mr. T fuckn touchez.

Hela ya muhuni hailiwi kizembe af unaleta dharau. Chidi is hood and gangstaπŸ˜‚ let him prepare for some ass whoopin, kama T Touches alijiona mjanja kwenye show ya Zuchu its high time now.
 
Mara ya mwisho naonana na chid, wiki tatu zilizopita, pale ilala boma kuna mitaa flani hivi ya kota
Nikajiona mimi ndio kama mkosefu
Nikajiona mimi ndio kama nimehusika kumnyonya hadi kuwa vile

Kipaji kikubwa lakini anavyoishi SO SAD
 
Weeee jamaa achana na movies za black gangs za Brooklyn 😁😁😁

Huku kwa ground ni kupambana, after all kupigana na kundi la watu ambao hawana cha kupoteza bhasi loss inakuwa kwa upande wako

Sasa uweke vitu vingi at risk ili kulinda men pride, jombaa 😁😁😁
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ apambane sasa mbona anakimbilia polisi!
 
umefanya kitu cha maana sana, hao kina chid ni watu walioshindwa tayari wanataka kukutoa kwenye reli, pita polisi pia wape taarifa hizi wazifanyie kazi
 
Acha uongo wewe jamaa,unaota nini?
Uongo ni upi sasa hapo kijana ,alivamia kwenye Steji Jay akiwa ana perform ni muda kidogo 2008 nadhani kipindi hicho bado ulikua shule ya msingi, usipende kukurupuka au wewe ni ndugu na Brother K?
 
Chid Benz unga umeshamharibu Hana akili huyo.
Mwanaume unaanzaje kumfosi mwanaume mwenzio akupe hela ambayo hukuitolea jasho?

Kweli wanaume wanapungua kwa Kasi Sana Duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…