Jamaa katumia busara sana, inaonekana ni mtu anayeifikiria kesho yake. Halafu hayo maugomvi hayajawahi kuleta faida hata mara moja mwisho wake huwa ni kuuana tu na kuanza kusumbùa watu rambirambi kwa mambo ya kipuuziMkuu ni heri ukawa na bifu na bondia au mcheza karate au mfanya mazoezi yoyote Yule kwani mtaishia kupigana au kupigwa na case ikienda mbali sana ni polisi na kila mtu anarudi uraiani salama
Usidharau na wala usitake kabisa bifu na wala unga au mateja, hao hawana ugomvi wa kupigana ngumi kusema mtapanga speringi mpigane au wakupe nafasi ya kujipanga siku ingine
Bifu na mateja waga lina njia ya mkato tu, na wengi wanapotea kutokana na hizo dharau kama zako, Teja yeye anajua fika Hana uwezo wa kukupiga ata Kofi, atakimbilia kisu/panga au akutoboe toboe na bisibisi
Kumbuka wakati yeye anafanya hilo ni tofauti na mtu mwenye Akili timamu ambae anafikilia nini kitatokea badae, yeye anafanya hilo akiwa hajui nini kitatokea badae ata kama utakufa kutokana na shambulio lake ye hajali
kutokana na dharau kama hizi zimefanya wengi wamepoteza maisha yao au kupata ulemavu wa kudumu au ata kutumia gharama kubwa sana kwenye matibabu ilhali huyo Teja ata afungwe gerezani ye hana alichopoteza
Ni rahisi sana kwao kumpoteza mtu Kwa hela ndogo sana na wengi wanapotea kutokana na kuwadharau kwamba hawawezi kuwafanya chochote, wakishapewa uhakika wa kupata madawa ya kulevya ata kama ni elf 10 tu hawataki kujua kosa lako wala hawataki kujua we ni Nani
Alichofanya Mr touch ni sahihi sana tena zaidi ya sahihi na atakuwa kaambiwa ukweli na watu wanaowajua mateja vizuri, cheed itambidi arudishe majeshi nyuma kama ni kweli kisa hiki ni cha kweli, si polisi wala mwanajeshi anaeweza kukulinda dhidi ya teja hao jamaa kwenye matukio waga Wana speed of light
Ni kweli mkuu, jamaa ametumia busara kujihami kijanja maana mtu mwenye Akili timamu,mwenye majukumu na mwenye kutaka kuona kesho yako inakuaje hawezi kuwa na bifu na Teja ambae yeye hataki kujua kesho yake itakuaje na wala hana cha kupotezaJamaa katumia busara sana, inaonekana ni mtu anayeifikiria kesho yake. Halafu hayo maugomvi hayajawahi kuleta faida hata mara moja mwisho wake huwa ni kuuana tu na kuanza kusumbùa watu rambirambi kwa mambo ya kipuuzi
Pia hii tabia ipo sana siku hizi, kuna watu wanaamini kuwa ukiwa na kazi, biashara, kipato n.k basi pesa ipo tu / huna matumizi nayo, ukimwambia sina anakuchukia na kukuchukia, wabongo tuna safari ndefu sana
Wanasikitisha sana watu wazima kuanza kuwindana kisa elfu 50.. wakae tu wayamalize maisha yaendeleeNi kweli mkuu, jamaa ametumia busara kujihami kijanja maana mtu mwenye Akili timamu,mwenye majukumu na mwenye kutaka kuona kesho yako inakuaje hawezi kuwa na bifu na Teja ambae yeye hataki kujua kesho yake itakuaje na wala hana cha kupoteza
Yani ni mara elfu moja uwe na bifu na mtu yoyote yule Duniani ila sio Teja, maana swala la utimamu wa Afya kwako linakuwa majaribuni muda wote hadi muda wa kulala ndio unapata Amani ila kukikucha tu maisha ya hofu tena yanarudi
Kweli kumekuwa na wimbi kubwa la vijana wasiotaka kufanya kazi na wamegeuza kuomba omba ndio kazi rasmi na kama usipompa inageuka bifu kama ilivokuwa Kwa cheed
ila kutokana na maneno hayo ya touch mwenyewe inawezekana Katika kujibishana na cheed jamaa alisema maneno yaliyomuuma cheed na wala sio matusi Bali maneno ya ukweli ambayo yanamuhusu cheed
Maana hakuna kitu kinauma kama ukweli, hawa ma producers ndio wanayajua vizuri maisha ya wasanii ambao wamepigika maana wao ndio walikuwa wanashinda nao studio kipindi wapo juu, kwahiyo wanajua story zao kibao wakati wapo on top
Cheed anajulikana ni mkorofi miaka yote na ni kweli siku hizi anaomba sana hela kwa jamaa zake wa zmaani ikiwepo wasanii pia, ila sio wa kufikia hatua kama hii ya kuanza kuwinda mtu ni lazima bwana touch alimtamkia maneno yakapiga kwenye mshono sasa Mwamba imemuuma
Kwa maisha ya Teja kukutoa uhai kwa kitu asichokijua ni dakika 0 tu, wao waga hawaulizi kafanya nini bali swali waga oya nikimaliza kazi nakukuta wapi unipe changu? Sasa touch kawa mjanja japo wapo watamuona mshamba, kaona heri akimbilie kwenye jamii ambayo itamkemea cheed na hatimae hii issue iishe kama haikuwepo vile
Kujisalimisha Kwa touch hadi hapo yashaisha MkuuWanasikitisha sana watu wazima kuanza kuwindana kisa elfu 50.. wakae tu wayamalize maisha yaendelee
Hi mbaya sana anaweza akatokea mtu mwingine akakudhuru na hatimaye akili ya yako itakupeleka kuwa ni ChidIkitokea Nimepata Tatizo Lolote La Kiusalama, Kuanzia Muda Huu Unapoona Hii Post Atakuwa Anahusika Rashid Makwilo Almaarufu Kama Chid benz na Genge Lake La Wahuni.
Kwasababu Wamenifuata zaidi ya Mara Nne au Mara Tano Kutaka Kunifanyia Fujo Na Kunipiga Lakini Walishindwa Kutokana Na Mazingira Jinsi Yalivyokuwa.
Kuna Siku Kulikuwa Na Shughuli ya Zuchu Mlimani City, Ilikuwa ni Mahaba Ndindindi Hii ndio Ilikuwa Sababu Ya Kila Kinachoendelea Sasa Kati Yangu Mimi Na Yeye, Tulipishana Kauli na Chid Benz Kwasababu ya Yeye Kunifwata zaidi ya Mara Tatu akiniomba Nimpatie elfu Hamisini. Na Nilipokataa Zaidi ya Mara Tatu Alitoa Maneno Machafu Round Ya Nne Ambayo Mi Nilkuwa Naelekea Toilet.
Baada Ya Hapo Tulitupiana Maneno Kibinadamu Nilishindwa Kuvumilia Kuona Mtu Ambaye Namjibu Zaidi Ya Mara Tatu Kwamba Sijabeba Pesa Anaanza Kunitolea Majibu Mabaya, Nadhani hiyo ni Sababu amenitafuta Sana Kunifanyia fujo. Yeye akiwa Na Wenzake zaidi Ya Sita.
Leo Wakati Natoka Ofisini Sinza Palestina Nimewaona Wakiwa Wamesimama Kwenye Kijiwe fulani Karibia na Palestina Hospital. Baada Ya Mimi Kupita Walinifwatilia Nadhani Walinifuata Taratibu Lakini Kwasababu Nilikuwa Natembeza Gari Kwa Kasi Kidogo Wakashindwa Kunifikia, Cos Wao Walikuwa Na Bajaji Na Palikuwa Hapana foleni ya Kutisha.
So Niliweza Kupita Nikafika Sehemu Ambayo Nilikuwa Naenda. Lakini Sio Mara Moja Wala Sio Mara Mbili Huyu Mtu Ananitafuta Na Lengo Lake Kubwa Anataka Kunidhuru.
Nashtaki Hapa Kama ni Ukurasa Wangu Ambao Kila Mtu Anaweza Kumpa Taarifa Mwenzie Kwasababu ya hii post.
Lakini Pia Ikiwa Ni Kama Sehemu Ya Mimi Kujiweka Salama. Kwasababuu Nimeshindwa Kwenda Polisi Usiku huu. Kutokana na Kilichotokea So Sina Amani Ya Kunitosheleza. Kwa Hiyo Ikitokea Chochote Kibaya Juu Yangu. Anayehusika Ni Rashid Makwilo almaarufu Kama Chid Benz.
Nimefanya hivi Sio Kwasabbu Nashindwa Kumdhibiti. Kumpiga au Kufanya Kitu Chochote. Bali Naomba Sheria Ishike Mkondo Wake. Kwasababu Nimesikia ni mtu ambaye anajihusisha na Vilevi Vikali. Pia Inasemekana Kwamba Anatumia Madawa Ya Kulevya Japo Mimi Sina Uhakika. Lakini Nipo Hapa KwaajiliYa Usalama Wangu Binafsi.View attachment 2426227
Haha jamaa anajikuta gangster from The BronxWeeee jamaa achana na movies za black gangs za Brooklyn [emoji16][emoji16][emoji16]
Huku kwa ground ni kupambana, after all kupigana na kundi la watu ambao hawana cha kupoteza bhasi loss inakuwa kwa upande wako
Sasa uweke vitu vingi at risk ili kulinda men pride, jombaa [emoji16][emoji16][emoji16]
😁😁😁 the OGsHaha jamaa anajikuta gangster from The Bronx
Fact.Touch kaingia Dar ashakuwa mtu mzima na akili zake akitokea songea
Na hii mambo ya kuonesheana umwamba kwa vitu ambavyo navina hela ni upuuzi tu
If doesn't make money, it doesn't make sense mzee
Tawi la juuChidi jiandae huyo jamaa akipata shida yeyote itabidi moto uelekezwe kwako na hautakuwa mdogo, wauzie wahuni wenzako maana revenge ni kwako tuu
Keep ya head updying inside but outside looking fearless.
Ukisikia wahuni ndo wale wala unga na wavuta bangiMkuu ni heri ukawa na bifu na bondia au mcheza karate au mfanya mazoezi yoyote Yule kwani mtaishia kupigana au kupigwa na case ikienda mbali sana ni polisi na kila mtu anarudi uraiani salama
Usidharau na wala usitake kabisa bifu na wala unga au mateja, hao hawana ugomvi wa kupigana ngumi kusema mtapanga speringi mpigane au wakupe nafasi ya kujipanga siku ingine
Bifu na mateja waga lina njia ya mkato tu, na wengi wanapotea kutokana na hizo dharau kama zako, Teja yeye anajua fika Hana uwezo wa kukupiga ata Kofi, atakimbilia kisu/panga au akutoboe toboe na bisibisi
Kumbuka wakati yeye anafanya hilo ni tofauti na mtu mwenye Akili timamu ambae anafikilia nini kitatokea badae, yeye anafanya hilo akiwa hajui nini kitatokea badae ata kama utakufa kutokana na shambulio lake ye hajali
kutokana na dharau kama hizi zimefanya wengi wamepoteza maisha yao au kupata ulemavu wa kudumu au ata kutumia gharama kubwa sana kwenye matibabu ilhali huyo Teja ata afungwe gerezani ye hana alichopoteza
Ni rahisi sana kwao kumpoteza mtu Kwa hela ndogo sana na wengi wanapotea kutokana na kuwadharau kwamba hawawezi kuwafanya chochote, wakishapewa uhakika wa kupata madawa ya kulevya ata kama ni elf 10 tu hawataki kujua kosa lako wala hawataki kujua we ni Nani
Alichofanya Mr touch ni sahihi sana tena zaidi ya sahihi na atakuwa kaambiwa ukweli na watu wanaowajua mateja vizuri, cheed itambidi arudishe majeshi nyuma kama ni kweli kisa hiki ni cha kweli, si polisi wala mwanajeshi anaeweza kukulinda dhidi ya teja hao jamaa kwenye matukio waga Wana speed of light
Yaani "pa papa papa pa, wamekaa"La Familia ilala ilalaaaaaaa!!! Mikono mfululu yaani papapaa papaapaa papaaa wamekaaaaaa!!