Uoga tu,men mmelendemka sana siku hiziMkuu ni heri ukawa na bifu na bondia au mcheza karate au mfanya mazoezi yoyote Yule kwani mtaishia kupigana au kupigwa na case ikienda mbali sana ni polisi na kila mtu anarudi uraiani salama
Usidharau na wala usitake kabisa bifu na wala unga au mateja, hao hawana ugomvi wa kupigana ngumi kusema mtapanga speringi mpigane au wakupe nafasi ya kujipanga siku ingine
Bifu na mateja waga lina njia ya mkato tu, na wengi wanapotea kutokana na hizo dharau kama zako, Teja yeye anajua fika Hana uwezo wa kukupiga ata Kofi, atakimbilia kisu/panga au akutoboe toboe na bisibisi
Kumbuka wakati yeye anafanya hilo ni tofauti na mtu mwenye Akili timamu ambae anafikilia nini kitatokea badae, yeye anafanya hilo akiwa hajui nini kitatokea badae ata kama utakufa kutokana na shambulio lake ye hajali
kutokana na dharau kama hizi zimefanya wengi wamepoteza maisha yao au kupata ulemavu wa kudumu au ata kutumia gharama kubwa sana kwenye matibabu ilhali huyo Teja ata afungwe gerezani ye hana alichopoteza
Ni rahisi sana kwao kumpoteza mtu Kwa hela ndogo sana na wengi wanapotea kutokana na kuwadharau kwamba hawawezi kuwafanya chochote, wakishapewa uhakika wa kupata madawa ya kulevya ata kama ni elf 10 tu hawataki kujua kosa lako wala hawataki kujua we ni Nani
Alichofanya Mr touch ni sahihi sana tena zaidi ya sahihi na atakuwa kaambiwa ukweli na watu wanaowajua mateja vizuri, cheed itambidi arudishe majeshi nyuma kama ni kweli kisa hiki ni cha kweli, si polisi wala mwanajeshi anaeweza kukulinda dhidi ya teja hao jamaa kwenye matukio waga Wana speed of light
Kabisa,chid karanduka but sio chizi kusema tu adai hiyo 50k frm nowhere. There must a reason behind ambayo touch anashindwa sema anabaki kutafuta sympathy,btw msema pweke mshindi tusikie na side ya chid kwanzaThis niqqa so mushy mane [emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume unaogopa vipi kupambana? Can somebody play for this nigga the movie "Friday"...He must learn somethn out of it!
Kingine, maelezo hayana substance, Chidy must be on drugs ila sio kichaa yule, haimake sense someone trolling on you eti kisa alikuomba elfu 50 ukamkatalia. Theres more than that, likely dhuluma and he gots to pay the price mr. T fuckn touchez.
Hela ya muhuni hailiwi kizembe af unaleta dharau. Chidi is hood and gangsta[emoji23] let him prepare for some ass whoopin, kama T Touches alijiona mjanja kwenye show ya Zuchu its high time now.
Hata mimi nahisi kuna sababu sidhani kama chid anamdai from nowhere maana chid sio chizi kiasi hicho.Kabisa,chid karanduka but sio chizi kusema tu adai hiyo 50k frm nowhere. There must a reason behind ambayo touch anashindwa sema anabaki kutafuta sympathy,btw msema pweke mshindi tusikie na side ya chid kwanza
Hayo ndo matokeo ya usela maviHuyu jamaa Ameshakata Tamaa kabisa ...Lifestyle yake ndo imemfikisha hapa alipo hapa namzungumzia Bwana Rashidi Makwilo mtoto wa ilala Kota
Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna ujasiri kupigana na mtu asiye na akili kama wala unga, kaa mbali au mwitie polisi ,ikishindikana mfyatue ubongo tuu ukiona hatari inazidiUoga tu,men mmelendemka sana siku hizi
Aanzaye haonekani ila amalizaye siku zote ndo huonekana mkorofiKabisa,chid karanduka but sio chizi kusema tu adai hiyo 50k frm nowhere. There must a reason behind ambayo touch anashindwa sema anabaki kutafuta sympathy,btw msema pweke mshindi tusikie na side ya chid kwanza
Movie zina waharibu vijana kuna mambo hayana application bongo usilete u nyuyoko manzeseThis niqqa so mushy mane [emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume unaogopa vipi kupambana? Can somebody play for this nigga the movie "Friday"...He must learn somethn out of it!
Kingine, maelezo hayana substance, Chidy must be on drugs ila sio kichaa yule, haimake sense someone trolling on you eti kisa alikuomba elfu 50 ukamkatalia. Theres more than that, likely dhuluma and he gots to pay the price mr. T fuckn touchez.
Hela ya muhuni hailiwi kizembe af unaleta dharau. Chidi is hood and gangsta[emoji23] let him prepare for some ass whoopin, kama T Touches alijiona mjanja kwenye show ya Zuchu its high time now.
Kwanini usitoe taarifa polisi? Halafu na wewe unaogopaje Teja?Ikitokea Nimepata Tatizo Lolote La Kiusalama, Kuanzia Muda Huu Unapoona Hii Post Atakuwa Anahusika Rashid Makwilo Almaarufu Kama Chid benz na Genge Lake La Wahuni.
Kwasababu Wamenifuata zaidi ya Mara Nne au Mara Tano Kutaka Kunifanyia Fujo Na Kunipiga Lakini Walishindwa Kutokana Na Mazingira Jinsi Yalivyokuwa.
Kuna Siku Kulikuwa Na Shughuli ya Zuchu Mlimani City, Ilikuwa ni Mahaba Ndindindi Hii ndio Ilikuwa Sababu Ya Kila Kinachoendelea Sasa Kati Yangu Mimi Na Yeye, Tulipishana Kauli na Chid Benz Kwasababu ya Yeye Kunifwata zaidi ya Mara Tatu akiniomba Nimpatie elfu Hamisini. Na Nilipokataa Zaidi ya Mara Tatu Alitoa Maneno Machafu Round Ya Nne Ambayo Mi Nilkuwa Naelekea Toilet.
Baada Ya Hapo Tulitupiana Maneno Kibinadamu Nilishindwa Kuvumilia Kuona Mtu Ambaye Namjibu Zaidi Ya Mara Tatu Kwamba Sijabeba Pesa Anaanza Kunitolea Majibu Mabaya, Nadhani hiyo ni Sababu amenitafuta Sana Kunifanyia fujo. Yeye akiwa Na Wenzake zaidi Ya Sita.
Leo Wakati Natoka Ofisini Sinza Palestina Nimewaona Wakiwa Wamesimama Kwenye Kijiwe fulani Karibia na Palestina Hospital. Baada Ya Mimi Kupita Walinifwatilia Nadhani Walinifuata Taratibu Lakini Kwasababu Nilikuwa Natembeza Gari Kwa Kasi Kidogo Wakashindwa Kunifikia, Cos Wao Walikuwa Na Bajaji Na Palikuwa Hapana foleni ya Kutisha.
So Niliweza Kupita Nikafika Sehemu Ambayo Nilikuwa Naenda. Lakini Sio Mara Moja Wala Sio Mara Mbili Huyu Mtu Ananitafuta Na Lengo Lake Kubwa Anataka Kunidhuru.
Nashtaki Hapa Kama ni Ukurasa Wangu Ambao Kila Mtu Anaweza Kumpa Taarifa Mwenzie Kwasababu ya hii post.
Lakini Pia Ikiwa Ni Kama Sehemu Ya Mimi Kujiweka Salama. Kwasababuu Nimeshindwa Kwenda Polisi Usiku huu. Kutokana na Kilichotokea So Sina Amani Ya Kunitosheleza. Kwa Hiyo Ikitokea Chochote Kibaya Juu Yangu. Anayehusika Ni Rashid Makwilo almaarufu Kama Chid Benz.
Nimefanya hivi Sio Kwasabbu Nashindwa Kumdhibiti. Kumpiga au Kufanya Kitu Chochote. Bali Naomba Sheria Ishike Mkondo Wake. Kwasababu Nimesikia ni mtu ambaye anajihusisha na Vilevi Vikali. Pia Inasemekana Kwamba Anatumia Madawa Ya Kulevya Japo Mimi Sina Uhakika. Lakini Nipo Hapa KwaajiliYa Usalama Wangu Binafsi.View attachment 2426227
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah.This niqqa so mushy mane [emoji23][emoji23][emoji23] mwanaume unaogopa vipi kupambana? Can somebody play for this nigga the movie "Friday"...He must learn somethn out of it!
Kingine, maelezo hayana substance, Chidy must be on drugs ila sio kichaa yule, haimake sense someone trolling on you eti kisa alikuomba elfu 50 ukamkatalia. Theres more than that, likely dhuluma and he gots to pay the price mr. T fuckn touchez.
Hela ya muhuni hailiwi kizembe af unaleta dharau. Chidi is hood and gangsta[emoji23] let him prepare for some ass whoopin, kama T Touches alijiona mjanja kwenye show ya Zuchu its high time now.
mpaka leo chid ni mtata kupita maelezo na anacompany kubwa sana ya wahuni kwa sie wakaz wa ilala tunamjua vizur mnoNikimkumbuka Chidi yule miaka ya 2000s anajiita Benzino [emoji23][emoji23] jamaa alikuwa balaa Kkoo ilala ukimzingua anakiwasha hatari siku hizi kachoka dah unga achana nao kabisa.
Aliwahi kumtwanga jamaa na washkaji wawili Club moja sikumbuk kina ilikuwa junction ya jamhuri na mkwepu ilipo Azam ice cream floor ya juu [emoji23][emoji23] watu baadae wanajua ni Benzino kila mtu kamwacha maana alikuwa mtata hatari
We unawajua kina modi bize na wenzake au unawasikia.? Nimewah kukaa ilala boma hao majamaa zake wakorofi kweli alafu mbavu kinoma wangempasua jamaa mjanja kakimbiaTouchez unazingua , Chid Guta ndio anakutisha? Kwanza rafiki zake watukuwa type za chid huyo huyo mateja!!
We unawajua kina modi bize na wenzake au unawasikia.? Nimewah kukaa ilala boma hao majamaa zake wakorofi kweli alafu mbavu kinoma wangempasua jamaa mjanja kakimbia
Huamini?Acha uongo wewe jamaa,unaota nini?
Kuna kamanda mwingine simjui jina lake huyo hata wewe unakimbia me nakwambia huyo producer bora alivyokimbia hata visu wangempiga mkuu nakwambia me nimekaa hapo boma mzee wangu majamaa wavuta bange, modi bize ashawah kumrusha mwizi toka gorofa ya kwanza mpaka chin akatulia kichwa akafa modi bize hata kama hana nguvu sana ana roho mbaya kinoma yan mkuu producer bora alivyokimbia 🤣🤣🤣🤣🤣Hao walikuwa zamani mkuu ,hata Kalapina alikuwa hatari ila kwasasa ni BOYA! Mod Bize hawezi kuwa na nguvu kama zamani au kuwa karibu na TEJA.