forex Senior Member Joined Jun 15, 2017 Posts 197 Reaction score 178 Jun 26, 2017 #1 Mradi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda- Tanzania, Tanga unaweza kwenda sambamba na Mradi wa maji safi kutoka mto Kagera. Kwa kufanya hivi tutapata unafuu wa gharama za Mradi wa maji safi na ya uhakika! Mjadala upo mezani kujadiliwa!
Mradi wa Bomba la mafuta kutoka Uganda- Tanzania, Tanga unaweza kwenda sambamba na Mradi wa maji safi kutoka mto Kagera. Kwa kufanya hivi tutapata unafuu wa gharama za Mradi wa maji safi na ya uhakika! Mjadala upo mezani kujadiliwa!