ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Wasalaam
Tuliambiwa na waziri husika mradi wa Bonde la Mto msimbazi unaanza January 2025
Kwani tayari walikuwa wamesign mkataba na world bank. Lkn mpaka leo kimya
Labda tuwaulize wahusika TAMISEMI mradi unaanza lini?
Tuliambiwa na waziri husika mradi wa Bonde la Mto msimbazi unaanza January 2025
Kwani tayari walikuwa wamesign mkataba na world bank. Lkn mpaka leo kimya
Labda tuwaulize wahusika TAMISEMI mradi unaanza lini?