Mradi wa duka!

Lughe

Senior Member
Joined
Oct 26, 2010
Posts
116
Reaction score
19
Habari za asubuhi wa jf,
Natarajia kufungua duka mahususi kwa ajili ya mahitaji madogomado ya nyumbani
kwahiyo naombeni msaada wa ufafanuzi kuhusiana na bidhaa zipi nianze nazo,na wapi zinapatikana kwa bei ya chini.
Zingatia:
mtaji 2.5millions

fremi ninayo
bidhaa kama;
Vyakula,vifaa vya kusafishia,soft drinks n.k
ukiambatanisha na bei zake itapendeza sana.

ahsanteni

 
huko mji gani,sababu bei zinatofautina kulinga na kila mji.
 
Ahsante Jamii01,
Mini apatikana Dar maeneo ya makumbusho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…