Mradi wa Konza City unaendelea vizuri

Mradi wa Konza City unaendelea vizuri

Tony254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2017
Posts
16,017
Reaction score
16,431
Kuna baadhi ya wazembe waliokuwa wakisema kuwa mradi huu wa Konza city ni tembo mweupe. Sasa nawatupia kapicha ili muone kuwa mradi unaendelea vizuri bila bugdha.

Tazama picha ya satelite. Kazi ya kuchonga barabara inayoendelea huko sio ya kitoto.

50348911656_009759d4c9_o.png
 
Kuna baadhi ya wazembe waliokuwa wakisema kuwa mradi huu wa Konza city ni tembo mweupe. Sasa nawatupia kapicha ili muone kuwa mradi unaendelea vizuri bila bugdha.

Tazama picha ya satelite. Kazi ya kuchonga barabara inayoendelea huko sio ya kitoto.

Which site did you get this current image from? My google Maps version is very outdated.
 
Back
Top Bottom