Mradi wa kuzalisha umeme kupitia gesi asilia wa Kinyerezi One

Mradi wa kuzalisha umeme kupitia gesi asilia wa Kinyerezi One

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020- 2025, Ibara ya 63(i)(c) imeelekeza Kukamilisha ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi asilia wa Kinyerezi I – Extension (MW 185).

Mradi huu sasa umekamilika ambapo mitambo yote minne (4) imewashwa na inachangia Megawati 185 katika Gridi ya Taifa.

Pakua Samia App kupitia Play Store au App Store

#samiaapp
#kaziiendelee
#tumejipatanamama

 
Back
Top Bottom