Mradi wa Mashine ya Kukoboa Mpunga na Mashine ya Kusaga

Mradi wa Mashine ya Kukoboa Mpunga na Mashine ya Kusaga

FineForever

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2017
Posts
1,777
Reaction score
2,356
Habari wana JF.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Lengo kuu la kuanzisha Uzi huu nikuomba ushauri na elimu juu ya mradi huu wa Mashine za Kusaga na Kukoboa Mpunga. Ushauri na Elimu kuhusu mradi huu uangazie katika maeneo makuu ya yafuatayo:-

(i) Gharama za kuanzisha mradi (initial investment costs)
(ii) Mahala/Eneo sahihi linalofaa kwa mradi huu
(iii) Mbinu na Mikakati ya usimamizi wa mradi husika
(iv) Mahala/wasambazaji sahihi wa mashine na vifaa vya mradi huu
(v) Changamoto za mradi husika na namna ya kukabiliana nazo.

Kwa namna ya pekee kabisa, napenda kuwakaribisha wote ktk kutoa maoni, ushauri, elimu na uzoefu kuhusu mradi huu.

Aidha, mchango wako, ushari, maoni na uzoefu wako ni muhimu sana ktk kufanikisha mradi huu na kwamba tutakuwa tumeweza kuwafungua wana JF walio wengi ambao wana mpango wa kuanzisha mradi kama huu, siyo hao tu bali hata wale ambao tayari wana mradi kam huu. Karibuni Sana.

Nawasilisha.
 
Kwani wewe uko wapi na ungependa kufanyia eneo gani/mkoa gani?
Niko Singida kwa Mishe ila nampango wa kuhamia Morogoro hivi karibuni, kuhusu kufanyia eneo gani ndio bado sijajua. Kutoka na ushauri, maoni na mawazo ya wadau kulingana na mradi huu kuwa unafaa eneo/sehemu zipi ndio ntafanya maamuzi kamili.
 
Habari wana JF.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Lengo kuu la kuanzisha Uzi huu nikuomba ushauri na elimu juu ya mradi huu wa Mashine za Kusaga na Kukoboa Mpunga. Ushauri na Elimu kuhusu mradi huu uangazie katika maeneo makuu ya yafuatayo:-

(i) Gharama za kuanzisha mradi (initial investment costs)
(ii) Mahala/Eneo sahihi linalofaa kwa mradi huu
(iii) Mbinu na Mikakati ya usimamizi wa mradi husika
(iv) Mahala/wasambazaji sahihi wa mashine na vifaa vya mradi huu
(v) Changamoto za mradi husika na namna ya kukabiliana nazo.

Kwa namna ya pekee kabisa, napenda kuwakaribisha wote ktk kutoa maoni, ushauri, elimu na uzoefu kuhusu mradi huu.

Aidha, mchango wako, ushari, maoni na uzoefu wako ni muhimu sana ktk kufanikisha mradi huu na kwamba tutakuwa tumeweza kuwafungua wana JF walio wengi ambao wana mpango wa kuanzisha mradi kama huu, siyo hao tu bali hata wale ambao tayari wana mradi kam huu. Karibuni Sana.

Nawasilisha.
Kwa ushauri tu mdau in vizuri ukatembelea miradi hii, nahakika utapata taarifa mzuri zadi achilia mbali kuona. Hata humu wapo wenye uzoefu na hiyo miradi wanaweza lukusaidia
 
Habari wana JF.
Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye mada husika kama kichwa cha habari kinavyojieleza.

Lengo kuu la kuanzisha Uzi huu nikuomba ushauri na elimu juu ya mradi huu wa Mashine za Kusaga na Kukoboa Mpunga. Ushauri na Elimu kuhusu mradi huu uangazie katika maeneo makuu ya yafuatayo:-

(i) Gharama za kuanzisha mradi (initial investment costs)
(ii) Mahala/Eneo sahihi linalofaa kwa mradi huu
(iii) Mbinu na Mikakati ya usimamizi wa mradi husika
(iv) Mahala/wasambazaji sahihi wa mashine na vifaa vya mradi huu
(v) Changamoto za mradi husika na namna ya kukabiliana nazo.

Kwa namna ya pekee kabisa, napenda kuwakaribisha wote ktk kutoa maoni, ushauri, elimu na uzoefu kuhusu mradi huu.

Aidha, mchango wako, ushari, maoni na uzoefu wako ni muhimu sana ktk kufanikisha mradi huu na kwamba tutakuwa tumeweza kuwafungua wana JF walio wengi ambao wana mpango wa kuanzisha mradi kama huu, siyo hao tu bali hata wale ambao tayari wana mradi kam huu. Karibuni Sana.

Nawasilisha.
Kwa ushauri tu mdau ni vizuri ukatembelea miradi hii, nahakika utapata taarifa mzuri zadi achilia mbali kuona. Hata humu wapo wenye uzoefu na hiyo miradi wanaweza kukusaidia
 
Kwa ushauri tu mdau in vizuri ukatembelea miradi hii, nahakika utapata taarifa mzuri zadi achilia mbali kuona. Hata humu wapo wenye uzoefu na hiyo miradi wanaweza lukusaidia
Ahsante kwa ushauri mzuri Mkuu
 
Back
Top Bottom