KERO Mradi wa NHC Safari City Arusha wanatuzungusha kutupa viwanja vyetu

KERO Mradi wa NHC Safari City Arusha wanatuzungusha kutupa viwanja vyetu

  • Thread starter Thread starter Anonymous
  • Start date Start date
Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Watu wa Shirika la Nyumba (NHC) Arusha mradi wa SAFARI CITY wanakera, tokea tulipe mwaka jana Oktoba hadi leo ni takriban mwaka sasa tunazungushwa kupewa viwanja vyetu na hati zetu hadi leo kwa kisingizio wanaweka mipaka.

Ofisini hawashindi, simu hawapokei hatupati msaada wowote. Inakera kiukweli tunashindwa kufanya maendeleo wala chochote.
 
Watu wa Shirika la Nyumba (NHC) Arusha mradi wa SAFARI CITY wanakera, tokea tulipe mwaka jana Oktoba hadi leo ni takriban mwaka sasa tunazungushwa kupewa viwanja vyetu na hati zetu hadi leo kwa kisingizio wanaweka mipaka.

Ofisini hawashindi, simu hawapokei hatupati msaada wowote. Inakera kiukweli tunashindwa kufanya maendeleo wala chochote.
Tupo wengi sana tunasumbuliwa , na ukiangalia ni mradi wenye tija sana kwa taifa. Uzembe unachelewesha sana maendeleo. Nashauri tuungane tuone tunafanyaje
 
Back
Top Bottom