Bila kuwa na data wala nini nilikuwa skeptic toka day one, tuna system na individuals ambao wanafanya kitu kizuri kutokea bongo kuwa ni kimoja katika mia moja.
Wenzetu wa Ghana wana a more complex scheme with the South Koreans, $ 10 billion, nyumba 200,000, averaging at $ 50,000 per house. Nyumba 200,000 si mchezo jamani, na huu ni mpango wa serikali.Sasa huyu rais akija kuniomba kura na vitu kama ni hivi vinaonekana namwambia endelea baba, hata ukitaka kuongeza na kodi ongeza, maana tunaona zinakoenda. Hata kama kuna ufisadi hapa unaona kabisa wakulu wanauma na kupuliza. Kuna watu wame raise objection kwamba hizo hela ni nyingi sana kwa low cost houses, lakini low cost haimaanishi substandard vile vile. WaGhana probably wangeweza ku shop for a better deal au kuifanya kazi at a more affordable price, lakini give me this bad deal over a bad radar any time.
Sisi hata mtu akija kuleta msaada wa matrekta kwa wakulima tutamuomba rushwa bandarini na customs, halafu tutamuibia na matrekta yake.
South Korea in $10bn Ghana homes deal .
Ghana's cities are said to be woefully short of housing
A South Korean firm has agreed to build 200,000 homes in Ghana over the next six years at a cost of $10bn (£6.1bn), Seoul officials say.
Construction firm STX will set up a joint venture to share the cost of the project with Ghana's government.
Seoul officials say 90,000 of the homes will be owned by the Accra government - the rest will be sold.
South Korea says it intends to seek more opportunities to help build infrastructure in sub-Saharan Africa.
The country, like other rich nations, has already signed various deals in Africa giving it access to farmland to help shore up food supplies.
STX said its housing deal will involve construction in 10 cities, including the capital Accra, from 2010 to 2015.
The firm signed the deal in Seoul with Ghana's Minister of Water Resources, Works and Housing Robert Abongo.
The Korean Ministry of Land, Transport and Maritime Affairs said the deal had been completed after officials had been to Ghana to promote Korean building firms.
"Korea [has a] lack of natural resources and thus is keeping an eye on the African continent - just as developed nations and China are fiercely doing so - to secure natural resources," said a ministry statement.
"Sub-Saharan Africa is rich in natural resources but is a civil-war devastated area with poor infrastructure. Korea sees the region as a new construction market."
http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8403774.stm