Hapana. Wote mafisadi. Baba fisadi, mwana fisadi. Si huyu ndiye aliyepewa tender ya kuingiza magari ya kijeshi wakati wa utawala wa baba yake na kuliletea jeshi magari yasiyofaa kutoka Dubai?Afadhali yeye anaweza kusema babake kamgea kipensheni chake kidogo!
Hili sitaki kukomenti lina matatizo ambayo yamepindapinda sana na ukikaa chini unaweza kujiona una majibu ya wewe mjinga! MhhhHapana. Wote mafisadi. Baba fisadi, mwana fisadi. Si huyu ndiye aliyepewa tender ya kuingiza magari ya kijeshi wakati wa utawala wa baba yake na kuliletea jeshi magari yasiyofaa kutoka Dubai?
Watu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
kaka Pole pole, usipaniki swali juu ya jibu lakini kwa hasira tutakupeleka Muhimbili halafu jamaa wakosee waoperate mguu badala ya kichwa na kichwa badala ya mguu si unajua kitakachokupata pale watakapochezea ubongo wako badala ya mguu?Kwa hiyo polepole kaka jazba zinaua. kama unamihasira unamwaga data kukanusha halafu unajua kingine unachukua ndovu bariiidi sana unajimiminia au unakunywa kinailoni kimoja unaziba mdomo kwa limao ha ha ha just kidingWatu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
Watu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
Mods fanyeni kazi yenu. Huyu mtu hawezi kututukana namna hii!
Jijipoji...Project
Sea View Apartments
Status
July December 2007 All detailed designs and bills of quantities completed. Building permit obtained in January 2008 Construction due to start
Client
Dr. Hussein Ali Mwinyi P. O. Box 9380
Dar es Salaam
Description
A 12 storey apartments building with 27 luxurious apartments; 1st to10th floor accommodating 5 duplex apartments occupying the middle, 20 deluxe apartments, two on either side of the floors; the 11th floor accommodating 2 identical penthouses.
Estimated cost
Tshs. 10 billion
Aisee, mi ni mmoja waowengine humu usishangae na kutuma post zao na kusoma kwao wapo ambao hawajawahi kushika cash ya Millioni 20! achili mbali tano!
Afadhali yeye anaweza kusema babake kamgea kipensheni chake kidogo!
Wewe embu jaribu kujiheshimu kidogo ili upate kuheshimika,huwezi tufanya wote humu ndani kama ni wapumbavu uliozoea kukutana nao katika hizo baa zako zilizokosa wastaarabu,kuanzia wateja mpaka wahudumu wake,tunaomba uheshimu uwepo wetu na wako humu ndani,mwanaizaya mkubwa wee!!Watu ni wapumbavu sasa kujenga apartment ndio ufisadi? Ever heard of a F**K*N BANK? Yani hii JF imekuwa choo cha baa..
hilo tusi limenifurahisha lakini hukulimalizia....Mwanahizaya usokuwa na haya wala usojuwa vibayaWewe embu jaribu kujiheshimu kidogo ili upate kuheshimika,huwezi tufanya wote humu ndani kama ni wapumbavu uliozoea kukutana nao katika hizo baa zako zilizokosa wastaarabu,kuanzia wateja mpaka wahudumu wake,tunaomba uheshimu uwepo wetu na wako humu ndani,mwanaizaya mkubwa wee!!
Project
Sea View Apartments
Status
July December 2007 All detailed designs and bills of quantities completed. Building permit obtained in January 2008 Construction due to start
Client
Dr. Hussein Ali Mwinyi P. O. Box 9380
Dar es Salaam
Description
A 12 storey apartments building with 27 luxurious apartments; 1st to10th floor accommodating 5 duplex apartments occupying the middle, 20 deluxe apartments, two on either side of the floors; the 11th floor accommodating 2 identical penthouses.
Estimated cost
Tshs. 10 billion