TwinsOrg_88
Member
- Apr 4, 2024
- 5
- 2
Habari Wakuu!
Kampuni ya China inayotengeneza SGR LOT 5 kutoka Isaka to Mwanza CCECC, inakaribia kuacha kuendelea na ujenzi huo wa reli sababu wanadai fedha nyingi serikali wanasema hawajalipwa wanatengeneza kwa fedha zao wenyewe kuanzia vifaa mpaka kulipa mishahara ya wafanyakazi, hivyo kwasasa ujenzi huo unasuasua sana kuendelea.
Kama hapa ninapoandika, wafanyakazi wamepewa likizo ya week nzima.
Kampuni ya China inayotengeneza SGR LOT 5 kutoka Isaka to Mwanza CCECC, inakaribia kuacha kuendelea na ujenzi huo wa reli sababu wanadai fedha nyingi serikali wanasema hawajalipwa wanatengeneza kwa fedha zao wenyewe kuanzia vifaa mpaka kulipa mishahara ya wafanyakazi, hivyo kwasasa ujenzi huo unasuasua sana kuendelea.
Kama hapa ninapoandika, wafanyakazi wamepewa likizo ya week nzima.