Mradi wa SGR Shinyanga hadi Mwanza wakwama baada ya wachina kukosa hela

Mradi wa SGR Shinyanga hadi Mwanza wakwama baada ya wachina kukosa hela

RWANDES

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,788
Reaction score
4,401
Nimepita Jana kuelekea Mwanza na kujionea hali halisi ilivyo baada ya kufika eneo la mradi nimekuta walinzi tu wakilinda vifaa vya wachina hata hivyo baadhi ya watu waliopo kwenye mradi huo wameniambia mradi umekwama kwa kuwa serikali haijatoa hela yoyote.

Ndugu zangu ukweli usemwe hii serikali ni wakati wa kufanya maamuzi kuitoa MADARAKANI maana mambo muhimu imeyapuuzia na kufanya anasa za starehe kila wakati.
 
Mradi wa sgr hautokuja kukamilika kama huyu mama ataendelea 2025
Nasema hivo kwa sababu Hajali.chochote kuhusu mradi huo na Mwaka 2025 atakuwa anatengeneza maisha yake ya baadae kwa ajiri ya kustaafu 2030
 
Nimepita Jana kuelekea mwanza nakujionea Hali halisi ilivyo baada ya kufika eneo la mradi nimekuta walinzi tu wakilinda vifaa vya wachina hata hivyo baadhi ya watu waliopo kwenye mradi huo wameniambia mradi umekwama kwa kuwa serikali haijatoa hela yoyote.
Ndugu zangu ukweli usemwe hii serikali NI wakati wa kufanya maamuzi kuitoa MADARAKANI maana mambo mhimu imeyapuuzia na kufanya anasa za starehe Kila wakati.
Ukitegemea wachina ambao wanategemea wakukope kwako wakujengee kwa riba uwalipe tena wewe mwenyewe😅😅
 
Hivi ujenzi wa SGR ni jambo la dharura kwamba liishe haraka haraka? Mbona hata sisi nyumba zetu tunajenga kwa kuunga unga, unaanza kukusanya mawe, tofali, unaweka msingi baadae unapotea, unarudi unapandisha boma.

Sisi hawa wenye uchumi wa kuunga unga ndio hao hao kodi zetu zinafadhili ujenzi wa SGR, tungekuwa na uchumi mkubwa hata majumba yetu tungejenga fast, na kodi tungelipa nyingi reli iishe fasta.

Ujenzi wa reli hiyo ni sawa na bajeti ya Tanzania ya mwaka na nusu bila kutumia hela hizo kwa jambo lolote, iwe dawa, elimu, Barbara.......


Halafu hivi kuna mtu ana mzigo wa dharura huko?
 
Sio SGR Tu kila kitu kimekwama, mwaka na nusu sasa wichi la kunyanyua mzigo la meli ya Victoria "hapa KAZI Tu" halifanyi kazi, meli inapakia mzigo kidogo ambayo hupakiwa na wapagazi, mamlaka zinajua kuwa wafanyabiashara wengi walikuwa wakitumia meli kwasababu ya unafuu wake, tukimkumbuka Magufuli tunabezwa ila jiulize kama winchi Tu limeshindikana kwa mwaka na nusu vipi injini zikinoki?
 
Nimepita Jana kuelekea Mwanza na kujionea hali halisi ilivyo baada ya kufika eneo la mradi nimekuta walinzi tu wakilinda vifaa vya wachina hata hivyo baadhi ya watu waliopo kwenye mradi huo wameniambia mradi umekwama kwa kuwa serikali haijatoa hela yoyote.

Ndugu zangu ukweli usemwe hii serikali ni wakati wa kufanya maamuzi kuitoa MADARAKANI maana mambo muhimu imeyapuuzia na kufanya anasa za starehe kila wakati.
Very stupid of you

Unalipa kodi kiasi gani kwa mwaka? Na kama kodi yako ingetumika kuchangia ujenzi wa sgr ingekua ni aslimia ngapi ya project cost?
 
Hivi ujenzi wa SGR ni jambo la dharura kwamba liishe haraka haraka? Mbona hata sisi nyumba zetu tunajenga kwa kuunga unga, unaanza kukusanya mawe, tofali, unaweka msingi baadae unapotea, unarudi unapandisha boma.

Sisi hawa wenye uchumi wa kuunga unga ndio hao hao kodi zetu zinafadhili ujenzi wa SGR, tungekuwa na uchumi mkubwa hata majumba yetu tungejenga fast, na kodi tungelipa nyingi reli iishe fasta.

Ujenzi wa reli hiyo ni sawa na bajeti ya Tanzania ya mwaka na nusu bila kutumia hela hizo kwa jambo lolote, iwe dawa, elimu, Barbara.......


Halafu hivi kuna mtu ana mzigo wa dharura huko?
Tatizo la kuchelewa mradi kama huu, gharama zinaanza zinaongezeka due to inflation, loan interest etc.. Makisio ya kipade hiki ilikuwa $1.3 billion. Ukicheleweshwa tutajikuta tunalipa $2.0 billion au zaidi
 
CHURA mwenyewe ni Dalali.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom