BabaKasheshe
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 211
- 45
wadau ninataka kanzisha shamba la samaki hapa dar es salaam kwa aina mbalimbali za samaki, naomba mwenye kuelewa vizuri anieleze namna ya kufanya au mwenye buss plan anisaidie. Am nijue ni wapi niende kwa ajili ya melekezo zaidi. asante sana
nashukuru kaka, kutokana na kwamba sina uzoefu wowote ndo nataka kupata maelezo yoote ya mradi....eneo sio kubwa sana say 10mX10m...