GKM
JF-Expert Member
- Dec 5, 2012
- 738
- 328
Wakuu nawasalimu sana. Napenda kabla ya yote niappreciate michango yenu hasa katika forum hii, imekuwa ikinisaidia sana. Sasa turudi kwenye uzi huo hapo juu:
Naomba mwenye ushauri juu ya jambo hilo anisaidie please, nipo dar natamani kuanza mradi huo januari mwakani. Mpango ni kuwa na ng'ombe bora kama 10 hivi (wenye uwezo wa kutoa minimum of 10 liters/ng,ombe per day), shamba kwa ajili ya kufugia na kuotesha malisho ya mifugo hiyo (about 6 acres). Naomba ushauri kuhusu yafuatayo:
Mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa
Eneo lililopo nje kidogo ya mji ambalo naweza kulitumia( kwa kulinunua)
Ushauri wa namna bora ya kufanya mradi huo.
Please kwa anaejua possible costs za eneo na ng'ombe wazuri nitashukuru.
Naomba mwenye ushauri juu ya jambo hilo anisaidie please, nipo dar natamani kuanza mradi huo januari mwakani. Mpango ni kuwa na ng'ombe bora kama 10 hivi (wenye uwezo wa kutoa minimum of 10 liters/ng,ombe per day), shamba kwa ajili ya kufugia na kuotesha malisho ya mifugo hiyo (about 6 acres). Naomba ushauri kuhusu yafuatayo:
Mbegu bora ya ng'ombe wa maziwa
Eneo lililopo nje kidogo ya mji ambalo naweza kulitumia( kwa kulinunua)
Ushauri wa namna bora ya kufanya mradi huo.
Please kwa anaejua possible costs za eneo na ng'ombe wazuri nitashukuru.