Mradi wa ujenzi wa makumbusho haujazingatia mahitaji yetu ya sasa kama taifa

Mradi wa ujenzi wa makumbusho haujazingatia mahitaji yetu ya sasa kama taifa

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
"Nitoe taarifa kwamba kuna mradi wa makumbusho ya Marais, mradi huu ni mradi no 5221 eneo liko Mtumba na tumetenga bilioni 34 kwa ajili ya mradi huu na mwaka huu tumeanza kutenga bajeti ndogo kama bilioni 1 na eneo lile lina ukubwa wa Ekari 50," - Rais @SuluhuSamia. #UzinduziKitabuChaSokoine

Mtazamo na maoni yangu. Je, kama Taifa tunauhitaji huo mradi kwasasa!? Jibu ni HAPANA maana tayari tuna mzigo mkubwa kuhudumia wenza wao kwasasa ambao wote bado wako hai:
  • Matibabu yao
  • Mishahara
  • Nyumba mpya
  • Magari mapya kila baada ya muda
  • Matumizi yao ya kila siku nk
Makumbusho yanaweza kuwa ni kitu muhimu kwa ajili ya kutunza historia lakini si lazima na si kipaumbele kwasasa kwakuwa hata kiuchumi hayana faida kubwa.

Kuchoma billion 34 kwenye mradi kama huu sidhani kama mamlaka zimeshauriana vema. Afya ya Jamii ni jambo la muhimu na la msingi sana. Kama tulithubutu kufuta bima ya mtoto yenye thamani ya bilion 20 kwa mwaka tunapata wapi uthubutu wa kuleta mradi wa nakumbusho ya maraisi wa billion 34?

Tuna mahitaji mengi ya lazima kama taifa na haya ndio lazima yapewe kipaumbele .. Elimu, maji safi, lishe bora, vifaa tiba.. Wataalam wa afya,wataalam wa kilimo mikopo nknk.. Huko kunahitaji kupewa kipaumbele hasa kwakuwa kunayagusa maisha ya taifa hili moja kwa moja kila siku kila saa na kila dakika

Makumbusho ya maraisi ukiachana na historia Pia ni jambo la kifahari zaidi. Wanaofanya mambo ya kifahari tayari wana ziada!
  • Je, sisi kama taifa tunayo hiyo ziada!?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo ya msingi?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo ya lazima?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo muhimu?
Tuwe watu wa kutafakari sana kabla ya kuamua kwa manufaa yetu sote kama taifa!

Pia, soma: Serikali yatenga Shilingi Bilioni 34 kujenga Makumbusho ya Marais Dodoma
 
Kuumbe. Wazungu wanapenda Ufahari. Nasikia kule karibia kila Raisi ana makumbusho yake, kumbe ni ya kifahari!

Haya.
 
"Nitoe taarifa kwamba kuna mradi wa makumbusho ya Marais, mradi huu ni mradi no 5221 eneo liko Mtumba na tumetenga bilioni 34 kwa ajili ya mradi huu na mwaka huu tumeanza kutenga bajeti ndogo kama bilioni 1 na eneo lile lina ukubwa wa Ekari 50," - Rais @SuluhuSamia. #UzinduziKitabuChaSokoine

Mtazamo na maoni yangu. Je, kama Taifa tunauhitaji huo mradi kwasasa!? Jibu ni HAPANA maana tayari tuna mzigo mkubwa kuhudumia wenza wao kwasasa ambao wote bado wako hai:
  • Matibabu yao
  • Mishahara
  • Nyumba mpya
  • Magari mapya kila baada ya muda
  • Matumizi yao ya kila siku nk
Makumbusho yanaweza kuwa ni kitu muhimu kwa ajili ya kutunza historia lakini si lazima na si kipaumbele kwasasa kwakuwa hata kiuchumi hayana faida kubwa.

Kuchoma billion 34 kwenye mradi kama huu sidhani kama mamlaka zimeshauriana vema. Afya ya Jamii ni jambo la muhimu na la msingi sana. Kama tulithubutu kufuta bima ya mtoto yenye thamani ya bilion 20 kwa mwaka tunapata wapi uthubutu wa kuleta mradi wa nakumbusho ya maraisi wa billion 34?

Tuna mahitaji mengi ya lazima kama taifa na haya ndio lazima yapewe kipaumbele .. Elimu, maji safi, lishe bora, vifaa tiba.. Wataalam wa afya,wataalam wa kilimo mikopo nknk.. Huko kunahitaji kupewa kipaumbele hasa kwakuwa kunayagusa maisha ya taifa hili moja kwa moja kila siku kila saa na kila dakika

Makumbusho ya maraisi ukiachana na historia Pia ni jambo la kifahari zaidi. Wanaofanya mambo ya kifahari tayari wana ziada!
  • Je, sisi kama taifa tunayo hiyo ziada!?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo ya msingi?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo ya lazima?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo muhimu?
Tuwe watu wa kutafakari sana kabla ya kuamua kwa manufaa yetu sote kama taifa!

Pia, soma: Serikali yatenga Shilingi Bilioni 34 kujenga Makumbusho ya Marais Dodoma
The problem of Africans, those with ideas have no power and those with power have no ideas.
 
Ni ya muhimu ila sio kwa wakati huu , bado tuna mambo yenye uhitaji mkubwa .
 
Mambo ya kijinga sana haya.Nchi yetu inamatatizo mengi sana ambayo yanatakiwa kuondolewa kuliko kujenga huo mradi wanaotaka wa makumbusho.Yaani bilioni zote hizo ziteketee Kwa kujenga kisanamu Cha kizimkazi ambaye ameua mzee kibao,sativa,soka na wengine wengi.Hii haukubaliki.
 
"Nitoe taarifa kwamba kuna mradi wa makumbusho ya Marais, mradi huu ni mradi no 5221 eneo liko Mtumba na tumetenga bilioni 34 kwa ajili ya mradi huu na mwaka huu tumeanza kutenga bajeti ndogo kama bilioni 1 na eneo lile lina ukubwa wa Ekari 50," - Rais @SuluhuSamia. #UzinduziKitabuChaSokoine

Mtazamo na maoni yangu. Je, kama Taifa tunauhitaji huo mradi kwasasa!? Jibu ni HAPANA maana tayari tuna mzigo mkubwa kuhudumia wenza wao kwasasa ambao wote bado wako hai:
  • Matibabu yao
  • Mishahara
  • Nyumba mpya
  • Magari mapya kila baada ya muda
  • Matumizi yao ya kila siku nk
Makumbusho yanaweza kuwa ni kitu muhimu kwa ajili ya kutunza historia lakini si lazima na si kipaumbele kwasasa kwakuwa hata kiuchumi hayana faida kubwa.

Kuchoma billion 34 kwenye mradi kama huu sidhani kama mamlaka zimeshauriana vema. Afya ya Jamii ni jambo la muhimu na la msingi sana. Kama tulithubutu kufuta bima ya mtoto yenye thamani ya bilion 20 kwa mwaka tunapata wapi uthubutu wa kuleta mradi wa nakumbusho ya maraisi wa billion 34?

Tuna mahitaji mengi ya lazima kama taifa na haya ndio lazima yapewe kipaumbele .. Elimu, maji safi, lishe bora, vifaa tiba.. Wataalam wa afya,wataalam wa kilimo mikopo nknk.. Huko kunahitaji kupewa kipaumbele hasa kwakuwa kunayagusa maisha ya taifa hili moja kwa moja kila siku kila saa na kila dakika

Makumbusho ya maraisi ukiachana na historia Pia ni jambo la kifahari zaidi. Wanaofanya mambo ya kifahari tayari wana ziada!
  • Je, sisi kama taifa tunayo hiyo ziada!?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo ya msingi?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo ya lazima?
  • Vipaumbele vyetu ni vipi kwenye mambo muhimu?
Tuwe watu wa kutafakari sana kabla ya kuamua kwa manufaa yetu sote kama taifa!

Pia, soma: Serikali yatenga Shilingi Bilioni 34 kujenga Makumbusho ya Marais Dodoma
Hata chadema mngekuwa chama Cha kidemokrasia mngekuwa na makumbusho ya viongozi
 
Waovu sio wanaojikita tattoo, bali ni wavaa suti.
Upo sahihi kabisa

Kulikua na Wezi wawili mmoja amevaa smart sana na ana muonekano mzuri mno na mwingine amevaa rafu na ana muonekano mmbaya, hawa wezi walipofika sehemu ya kufanya tukio lao la wizi aliekua akiongoza operation ya wizi ni yule alievaa smart huyu ambae hajavaa smart kwanza alikua anaogopa hata mazingira kwanza ukimtazama alikua anatamani aondoke eneo hilo maana nafsi ilikua inamsuta kwamba anachokifanya sio kitu sahihi ila kwa shinikizo la rafiki yake akajikuta anashiriki wizi huku bila kujua kwamba Camera zimetegwa zinawaona.

Mara Paap wakadakwa red handed usichodhania watu ambao hawakuangalia Camera na kujua kilichokua kinaendelea wa kwanza kumvaa na kumpa kisago ni yule mwizi alievaa vibaya na mwenye muonekano mbaya kiumbo na kisura akachakazwa sana huku mwizi alievaa smart mwenye muonekano mzuri kiumbo na kisura akiachwa kwanza ili aulizwe vizuri wasije wakawa wanampiga mtoto wa Waziri fulani bila kujua

Evidence of Bad Character
 

Mshana hapa ulitakiwa kumwambia asilete ujinga kwenye mambo ya maana.
Hahahaha
Hata chadema mngekuwa chama Cha kidemokrasia mngekuwa na makumbusho ya viongozi
Lakini kisingekuwa kipaumbele... Labda pengine hujasoma vizuri mada
Upo sahihi kabisa

Kulikua na Wezi wawili mmoja amevaa smart sana na ana muonekano mzuri mno na mwingine amevaa rafu na ana muonekano mmbaya, hawa wezi walipofika sehemu ya kufanya tukio lao la wizi aliekua akiongoza operation ya wizi ni yule alievaa smart huyu ambae hajavaa smart kwanza alikua anaogopa hata mazingira kwanza ukimtazama alikua anatamani aondoke eneo hilo maana nafsi ilikua inamsuta kwamba anachokifanya sio kitu sahihi ila kwa shinikizo la rafiki yake akajikuta anashiriki wizi huku bila kujua kwamba Camera zimetegwa zinawaona.

Mara Paap wakadakwa red handed usichodhania watu ambao hawakuangalia Camera na kujua kilichokua kinaendelea wa kwanza kumvaa na kumpa kisago ni yule mwizi alievaa vibaya na mwenye muonekano mbaya kiumbo na kisura akachakazwa sana huku mwizi alievaa smart mwenye muonekano mzuri kiumbo na kisura akiachwa kwanza ili aulizwe vizuri wasije wakawa wanampiga mtoto wa Waziri fulani bila kujua

Evidence of Bad Character
Mara Paap wakadakwa red handed usichodhania watu ambao hawakuangalia Camera na kujua kilichokua kinaendelea wa kwanza kumvaa na kumpa kisago ni yule mwizi alievaa vibaya na mwenye muonekano mbaya kiumbo na kisura akachakazwa sana huku mwizi alievaa smart mwenye muonekano mzuri kiumbo na kisura akiachwa kwanza ili aulizwe vizuri wasije wakawa wanampiga mtoto wa Waziri fulani bila kujua

Evidence of Bad Character📌🔨
 
Back
Top Bottom